Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

wengi wetu tunaufanya huu mchezo ingawa mbele za watu tunajifanya kuupinga
 
Alipokubadilishia uliendelea. Huruma ipi kumsaidia kuacha ama kumpa anachotaka? Wewe ulimpa!
Unafiki mbaya sana
 
nyumaa ishakuwa mtindoo wa maishaaa hasa ndoa nyingiiii wakija mbele ya jamii wanakua wakalii...pepo baya sana hili
Wapi huko jamani mnawachungilia wanandoa wakilana tope na mie nikapige chabo
 
Wadada wameamua kwenda nyuma baada ya kuona mashoga wanawazidi keteπŸ˜€
Kitu ambacho wengi hamjui ni kwamba... tishu zinazounda ukuta wa juu wa uke (outer most layer) ndio hizo hizo utazikuta kwenye Anus(tope) na vilevile ndani ya kinywa chako. Kwa wataalam wa Histology wanaelewa vyema sifa za stratified squamous epithelium.

UNACHOKIKIMBIA MBELE HUKO. NYUMA PIA NDIO KIPO.

Sidhani kama ni sawa kuingia katika fata mkumbo hii ya sasa inayopakwa rangi na propaganda za siri kutoka mataifa ya nje. Kimsingi Anal sex (dundo la Mpalange) ina athari nyingi ukilinganisha na hio starehe ya muda mfupi ikizidi sana 2hrs unayopata hapo.
 
Hiyo nikweli... Mwanamke umbo lake Lina ushawishi wa kuingiliwa popote,,, tofauti na mwanaume ambaye amekomaa komaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…