Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

Mbona hizi maada za nyuma nyuma zimekuwa nyingi Sana hiki kipindi.

Kwani nyie x mmeanza kuangalia lini? Anal ipo tokea enzi za sodoma mpk enzi za watimoteo.

Mpaka enzi za wagalatia,mpk enzi za yohana, mpk enzi za tigo mpk enzi za google.

Hakuna jipya NI wewe kuamua tu usijaribu visivyojaribika ila kiuhalisia nahisi watu wengi Sana washaonjana huko NI Basi TU chumba kinaficha mengi.

Mimi mwenyewe nikikiri hapa sijawahi kula tigo najua watu watabisha tu
wengi wetu tunaufanya huu mchezo ingawa mbele za watu tunajifanya kuupinga
 
Alipokubadilishia uliendelea. Huruma ipi kumsaidia kuacha ama kumpa anachotaka? Wewe ulimpa!
Unafiki mbaya sana
Ni dhambi gani hii!!

Mdada mzuri ameumbika niliyewaza kumfanya mama watoto then nakutana na haya imeniuma sana! kwanini imekuwa hivi... Wanaume wenzangu kuweni na huruma wazeni kesho yao wanaumia sana....

Yani tumepiga shoo weee naona haridhiki kumbe mtoto hadi umfanye nyuma ndio afike mwisho

Mara abadilishe badilishe style kuna style moja hivi ile napiga mtoto kanibadilishia mwelekeo nilishtuka lakini sikuonye kibaharia nikasema aishi hadi iishe sikuwahi kutamani nimfanye mwanamke nyuma hili limetokea tu after hapo basi akaridhika.

Niliplan mengi nae ila from hili nitashindwa!

#wadada msikubali hizo mambo zinawashusha sana thamani ni aibu.
 
Wadada wameamua kwenda nyuma baada ya kuona mashoga wanawazidi kete😀
Kitu ambacho wengi hamjui ni kwamba... tishu zinazounda ukuta wa juu wa uke (outer most layer) ndio hizo hizo utazikuta kwenye Anus(tope) na vilevile ndani ya kinywa chako. Kwa wataalam wa Histology wanaelewa vyema sifa za stratified squamous epithelium.

UNACHOKIKIMBIA MBELE HUKO. NYUMA PIA NDIO KIPO.

Sidhani kama ni sawa kuingia katika fata mkumbo hii ya sasa inayopakwa rangi na propaganda za siri kutoka mataifa ya nje. Kimsingi Anal sex (dundo la Mpalange) ina athari nyingi ukilinganisha na hio starehe ya muda mfupi ikizidi sana 2hrs unayopata hapo.
 
Hiyo nikweli... Mwanamke umbo lake Lina ushawishi wa kuingiliwa popote,,, tofauti na mwanaume ambaye amekomaa komaa
Ngoja nami nikuulize swali hata usiponijibu jijibu mwenyewe huko kichwani, nini tofauti ya mdomo wa shoga/mwanaume na mdomo wa mwanamke?

Maana reasoning yako Ni sawa Na useme mwanaume anaemnyonya mate mwanamke, anaweza nyonya mate shoga/mwanaume mwenzie

Kumwingilia mdada kinyume na maumbile haimaanishi kuwa Utamwingilia mwanaume mwenzio kinyume na maumbile cocastic
 
Back
Top Bottom