Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

Dini zimekataza sio tu anal sex ila imekataza hata kukojolea nje wakati wa sex je kuna ubaya kukojolea nje? Biblia imekataza sex kabla ya ndoa mbona mnafanya? Biblia imekataza pia sex ukiwa kwenye maombi kuna madhara gani?

Kwahiyo sio kila inachokataza biblia kina madhara kibaiolojia.
Lengo la sex ni kuzaliana.
Mwanzo 1:28 Mungu akawabariki na akawaambia, “Zaeni na mkaongezeke, mkaijaze tena dunia na kuitiisha. Mkatawale samaki wa baharini, ndege wa angani, na kila kiumbe hai kiendacho juu ya ardhi.”

Maswali yako mengine yanadhihirisha wewe sio mtu wa dini ila umefuata kile ulichowakuta nacho wazazi wako.

Unaomba huku unasex?? Una nidhamu kweli wewe??
madhara ya kuzini huyajui??
Chalii yangu unazingua.
We dini gani kwani??
 
Mbona hizi maada za nyuma nyuma zimekuwa nyingi Sana hiki kipindi.

Kwani nyie x mmeanza kuangalia lini? Anal ipo tokea enzi za sodoma mpk enzi za watimoteo.

Mpaka enzi za wagalatia,mpk enzi za yohana, mpk enzi za tigo mpk enzi za google.

Hakuna jipya NI wewe kuamua tu usijaribu visivyojaribika ila kiuhalisia nahisi watu wengi Sana washaonjana huko NI Basi TU chumba kinaficha mengi.

Mimi mwenyewe nikikiri hapa sijawahi kula tigo najua watu watabisha t😂😂
 
Ungeendelea nakumbuka nilikua na manzi moja huyu alikua hataki niende kazini asbh tu picha linaanza kavuruga ubongo ukifika job kero alooo mbn nilichokua nimekaa nae miaka Saba penzi lilichuja ilo siku namwambia nimechoka mapenzi yakuniganda kama luba nakosa mda wakujijenga kiakili ku forcus na mmbo ya muhim kwenye Maisha yetu kwaufupi alikua mtu anapenda mitandao sana anataka apostiwe mda wote kilichokuja kuboa zaid ukilala anaamka nakuanza kukagua sim nakupigia watu asiowajua akidai ni madem zangu alooo nibunujikwa pakubwa nikanyoosha Mikono hivyo aliekuja kukosea mazima kapigia sister zangu nakuanza kuwatukana matusi mazito nilichokua nakumwambia safari tuumalize tu, 🤣🤣🤣
 
swala la kujamba na kutoka haja kubwa kwa wanawake wakati wa kujifungua ni suala la kawaida usilihusishe na hayo maswali, punguzeni propaganda za uwongo kwenye mambo yanayohusu jamii kwa njia moja au nyengine.
Mambo ya mtaani radio mbao hawataki watu wafaidi, mara ooh unakuwa unajambajamba mbona mm nipo kawaida san
 
Tatzo utoto ndio mwingi. Zaman watu walikua wanatoa nyuma lakn kwa siri.
Lakn kwa kizazi hiki watu hawana siri kabsa. Kuna furaha gan kusema Dada fulani anatoa nyuma kwa rafiki yko....?
Mimi nnafanya na mke wng toka nlipo muoa mwaka 2010 had leo na tuna watoto 3. Hakuna jamaa, Rafki wala ndugu anajua hii
Wapo wanaotoa kwa siri sana, raha ya jicho liliwe kwa siri ukizingatia usafi mwingi, yaan dyudyu inafurahia jamani kuchekecha
 
Ni hatari hatari hatarias sanaaa halafu wengi wananuka mbaya hao watoa jicho ni aibu. Ukimgeuza upige dog style unakutana na harufu la matopeni daah nimechoka na haya mambuzi.
Sio woteee hujakutana na mnato jamani eeh jmn hadi raha,
 
Na wanaume anavyotaka huko nyuma ataingia na gia ya "kama unanipenda"... Utasikia mimi mpenzi wako nina mamlaka na mwili wako niache niwe huru....mfyuuuuu!!!Nenda kaendelee huko huko ulikojifunzia. Ndio mwanzo wa kuleta gundu katika familia na vizazi vyako. Wanawake hakuna jema katika kuliwa tigo linda sana marinda yako
Wala hakuna hata gia, siku hizi kuna sign tuu unajikuta unazama bila kujua ili uweze kutekwa, mapenzi ni ubunifu
 
Mtu yeyote anayefanywa nyuma anavunja sheria za asili na za Kimungu.

Mwanaume anayefanywa nyuma na mwanamke anayefanywa kinyume nyume wote ni walewale, yaani wote ni mashoga.

Kama mwanaume na akili zako timamu unaweza kumfanya mwanamke kinyume na maumbile usiwadharau mashoga wa kiume, hao pia ni wake zako.

Jamii inapokemea mashoga isibebe picha za wafanyaji kinyume na maumbile wanaume tu, wapo wanawake pia tena ni maelfu kwa maelfu nao wakemewe ikiwezekana watengwe.

Sheria za Tanzania mapenzi kinyume na maumbile ni mwiko kwa jinsia zote.

Na ndoa yoyote inakuwa batili pindi tu wanandoa wanapofanya kinyume na maumbile.
Hata kumwomba mke wako makalio hapo tayari ndoa imekuwa haramu, au mke wako akikuomba umfanye matakoni pia hapo mwanaume una haki ya kuvunja ndoa.
Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile, ni dhambi, wanaume pia wanaowaingilia na hata wale wanaoingiliwa, ni dhambi. Biblia imekataza na wote hao hawatauridhi uzima wa milele.

1. Warumi 1:26 - 27, For this reason God gave them up to vile passions. for even their women exchanged the natural use for what is against nature. likewise also the men leaving the natural use of the woman, burned in their lust for one another, men with men committing what is shameful, and receiving in themselves the penalty of their error. SWAHILI: WARUMI 1:26-27, 26 Kwa hiyo, Mungu aliwaachia wafuate tamaa zao za aibu. Hata wanawake wao waliacha matumizi ya asili ya maumbile yao wakatumia miili yao isivyokusudiwa. 27 Hali kadhalika wanaume waliacha uhusiano wa asili kati ya waume na wake wakawakiana tamaa wao kwa wao. Wanaume walifanyiana mambo ya aibu, nao waka pata katika miili yao adhabu waliyostahili kama matokeo ya uovu wao.

2. 1 Corinthians 6:9 - 11, Do you not know that the unrighteous will not inherit the Kingdom of God? Do not be deceived. Neither fornicators, nor idolaters, nor adulterers, nor homosexuals, nor sodomites, nor thieves, nor cavetous, nor drunkards, nor revilers, nor extortioners will inherit the Kingdom of God. And such were some of you, but you were washed, but you were sanctified, but you were justified in the Name of the Lord Jesus and by the Spirit of our God. SWAHILI: 2WAKORINTHI 6:9-11 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi Ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi. Na baadhi yenu mlikuwa watu wa namna hii; lakini mlioshwa, lakini mlitakaswa, lakini mlihesabiwa haki katika Jina la Bwana Yesu Kristo, na katika Roho wa Mungu wetu.

CONCLUSION: sitaki kuandika mengi, ila napenda kuwafikishia ujumbe kwamba, ninyi wanawake mnaofirwa, na ninyi wanaume mnaofira na ninyi wanaume mnaolawitiwa (mashoga), Neno la Mungu linasema msidanganyike, hamtaurithi ufalme wa Mungu. labda kama mkibadili njia zenu, kwa kutubu kumaanisha kuacha dhambi, na kuzigeukia njia za Bwana. Mungu kasema kabisa msidanganyike, ukifa na dhambi hiyo bila kutubu na kuiacha, hautaurithi Ufalme wa Mungu. Mungu awabariki.
 
Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile, ni dhambi, wanaume pia wanaowaingilia na hata wale wanaoingiliwa, ni dhambi. Biblia imekataza na wote hao hawatauridhi uzima wa milele.

1. Warumi 1:26 - 27, For this reason God gave them up to vile passions. for even their women exchanged the natural use for what is against nature. likewise also the men leaving the natural use of the woman, burned in their lust for one another, men with men committing what is shameful, and receiving in themselves the penalty of their error. SWAHILI: WARUMI 1:26-27, 26 Kwa hiyo, Mungu aliwaachia wafuate tamaa zao za aibu. Hata wanawake wao waliacha matumizi ya asili ya maumbile yao wakatumia miili yao isivyokusudiwa. 27 Hali kadhalika wanaume waliacha uhusiano wa asili kati ya waume na wake wakawakiana tamaa wao kwa wao. Wanaume walifanyiana mambo ya aibu, nao waka pata katika miili yao adhabu waliyostahili kama matokeo ya uovu wao.

2. 1 Corinthians 6:9 - 11, Do you not know that the unrighteous will not inherit the Kingdom of God? Do not be deceived. Neither fornicators, nor idolaters, nor adulterers, nor homosexuals, nor sodomites, nor thieves, nor cavetous, nor drunkards, nor revilers, nor extortioners will inherit the Kingdom of God. And such were some of you, but you were washed, but you were sanctified, but you were justified in the Name of the Lord Jesus and by the Spirit of our God. SWAHILI: 2WAKORINTHI 6:9-11 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi Ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi. Na baadhi yenu mlikuwa watu wa namna hii; lakini mlioshwa, lakini mlitakaswa, lakini mlihesabiwa haki katika Jina la Bwana Yesu Kristo, na katika Roho wa Mungu wetu.

CONCLUSION: sitaki kuandika mengi, ila napenda kuwafikishia ujumbe kwamba, ninyi wanawake mnaofirwa, na ninyi wanaume mnaofira na ninyi wanaume mnaolawitiwa (mashoga), Neno la Mungu linasema msidanganyike, hamtaurithi ufalme wa Mungu. labda kama mkibadili njia zenu, kwa kutubu kumaanisha kuacha dhambi, na kuzigeukia njia za Bwana. Mungu kasema kabisa msidanganyike, ukifa na dhambi hiyo bila kutubu na kuiacha, hautaurithi Ufalme wa Mungu. Mungu awabariki.
Hallelujah
 
Back
Top Bottom