Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

Aloo
IMG-20220801-WA0003.jpg


Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Mtu yeyote anayefanywa nyuma anavunja sheria za asili na za Kimungu.

Mwanaume shoga/anayefanywa kinyume na mwanamke anayefanywa kinyume wote ni walewale.

Kama mwanaume na akili zako timamu unaweza kumfanya mwanamke kinyume na maumbile usiwadharau mashoga wa kiume, hao pia ni wake zako.

Jamii inapokemea mashoga isibebe picha za wafanyaji kinyume na maumbile wanaume tu, wapo wanawake pia tena ni maelfu kwa maelfu nao wakemewe ikiwezekana watengwe.

Sheria za Tanzania mapenzi kinyume na maumbile ni mwiko kwa jinsia zote.

Na ndoa yoyote inakuwa batili pindi tu wanandoa wanafanya kinyume na maumbile.
Sema kimeumana!!
 
Nimekuuliza hivi, nini tofauti ya mkundu wa shoga na mwanamke?? Haya ya nyie kuombana na kupeana, sio suala langu.
Ngoja nami nikuulize swali hata usiponijibu jijibu mwenyewe huko kichwani, nini tofauti ya mdomo wa shoga/mwanaume na mdomo wa mwanamke?

Maana reasoning yako Ni sawa Na useme mwanaume anaemnyonya mate mwanamke, anaweza nyonya mate shoga/mwanaume mwenzie

Kumwingilia mdada kinyume na maumbile haimaanishi kuwa Utamwingilia mwanaume mwenzio kinyume na maumbile cocastic
 
Back
Top Bottom