Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe mnajuana 😂Umetumwa wewe
Sipo kwenye utafiti na Wala Sina utafiti lakini Nina ndugu wa kike na WA kiume pia Nina watoto nawahudumia hivo sidhani km nimekosea kuuliza pia kama huna majibu hebu tuliaBe careful unaweza tekwa katika utafiti wako, endelea na mambo mengine hili jambo sio level yako
Hapana.Kumbe mnajuana 😂
Kwa Tanzania hii bara na visiwani chanzo ni waarabu na tamaduni zao..binti yuko radhi ato mk...u ili kulinda bikra.Mimi natamani nijue chanzo hadi haya mambo kuonekana ni ya kawaida na wanaume wengi kufanya ndio lifestyle na wanawake kuona ni kitu Cha kawaida?
Nini dawa yao ili tuwakomeshe na vi mada vyao?Hapana.
Hawa wanaoleta mada za hivi ndo wadau wakubwa wa haya mambo. Hata wale wanaoleta mada za kishoga ndo mapunga wenyewe. Na lengo Lao ni kupromote. Shtuka!
Mweu au chizi ambae dishi limeyumba ndio anaweza chezea maviMimi natamani nijue chanzo hadi haya mambo kuonekana ni ya kawaida na wanaume wengi kufanya ndio lifestyle na wanawake kuona ni kitu Cha kawaida?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]BAHARIA KAUMALIZA MWENDO POLE SANA
Ila tatizo zaidi wanaume, wanaume tukisema hapana wao watafanyia nini? Mwanaume ni muharibifu kwasababu ya tamaa mbaya na kushindwa kumlinda mwanamkeMmezoea kulaumu wanaume, vipi kama mwanamke mwenyewe ndo anaihamishia huko topeni?
Na makucha yaaakeKumekuchaaa hukuuuuu!!
Ni fantasy na fashion kwa baadhi watu, maana sio wote wanaofanya haya mamboMimi natamani nijue chanzo hadi haya mambo kuonekana ni ya kawaida na wanaume wengi kufanya ndio lifestyle na wanawake kuona ni kitu Cha kawaida?
Dawa hakuna maana hata mods wanazipenda mno ndo favourite yao. Ukitaka kujua anzisha uzi wa katiba mpya kama utadumu dakika 5Nini dawa yao ili tuwakomeshe na vi mada vyao?
Ya mambo Yake ya kufiranaaa[emoji2214][emoji2214][emoji2214][emoji2214]Na makucha yaaake
Na Hata wapingaji wengi wao ni wadau kabisaaaa, tena kindaki ndaki.Hapana.
Hawa wanaoleta mada za hivi ndo wadau wakubwa wa haya mambo. Hata wale wanaoleta mada za kishoga ndo mapunga wenyewe. Na lengo Lao ni kupromote. Shtuka!