Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Acha uzwazwa kijanaNimeshindwa kuamini, Kuna namna unakuwa na mtu kwenye mahusiano, uzuri wake, tabia na hulka yake unaweza kumjengea taswira flani akilini.
Urembo na upole wa huyu mwanamke vilifanya kuona nimepata pumziko sahihi, Sasa jana tukiwa tumepumzika tukiwa tushafanya yetu usiku mnene, akaniuliza "unafanyaga michezo michafu"?. Nikajidai sijamsikia akarudia tena. Nikatulia kwa mda halafu nikajibu, Ndio.
Akacheka, akawa anajiongelesha, kumbe wewe una tabia mbaya, nataka tujaribu Sasa. Mimi nikawa kama nimepigwa na ganzi namwangalia tu. Nikapata wazo la kumkagua.
Nikambinua binua huko nyuma nikaingiza kidole kikawa kinabana, pamoja na kwamba haya mambo sijawahi na Wala sijui mwanamke anayefanya kinyume na maumbile nyuma Kuna kuwaje, kwa story zake inaonekana ashafanya.
Vijana mnaangamia kwa upumbavu wenu, huyu namuacha kimyakomya yaani tukiachana ndio mwisho Mimi na yeye.Hizi dhambi sizitaki hata kusikia
Kaa na mwenza wako au mchumba huyo umjenge aachane na hiyo tabia.
Kuchakata kabla ya ndoa pia ni poromoko la kimaadili kwa vijana ujue.
Mpe.makavu live kisha mwambie abadilike au unaachana naye