Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

Kama unabisha wewe nenda sisiemu anza kuita watu makomredi huone kama ujaulizwa dogo umekula , vipi pesa ya vocha unayo , utashangaa unaanza kupapaswa makario ...hizo ni lugha za code za kutambuana walaji na waliwa vitoto vya skauti vinavyo tumikaga kwenye mambo ya kisiasa ya icho chama vimeharibiwa sana na hao jamaa makomredi.
Acha ujuaji na uongo comrade maana yake n rafiki
Screenshot_20230517-123806.jpg
 
Tatzo utoto ndio mwingi. Zaman watu walikua wanatoa nyuma lakn kwa siri.
Lakn kwa kizazi hiki watu hawana siri kabsa. Kuna furaha gan kusema Dada fulani anatoa nyuma kwa rafiki yko....?
Mimi nnafanya na mke wng toka nlipo muoa mwaka 2010 had leo na tuna watoto 3. Hakuna jamaa, Rafki wala ndugu anajua hii

Aisee, ila ukiziba masikio na akili yanafanyika tuu ndoani na maisha yanaendelea
 
Uzuri shimo la nyuma hata wanaume mnalo ndio mjue kwamba kazi yake sio kuingizwa dushe. Ni bora nikafanya ufuska wote duniani, pombe, bangi, ila sio kutoa tigo. Hiyo ni laana itakayotafuna na kizazi chako.
Mwanamke/ mwanaume unayetoa na kula tigo ukija zaa mtoto akawa shoga utamlaumu nani??

Ushoga si matokeo ya kula shimo za kike ni matokeo ya kukosa malezi ya utambuzi wa kijinsia[emoji28]… Me ni Me na Ke ni Ke.
 
Mbona hizi maada za nyuma nyuma zimekuwa nyingi Sana hiki kipindi.

Kwani nyie x mmeanza kuangalia lini? Anal ipo tokea enzi za sodoma mpk enzi za watimoteo.

Mpaka enzi za wagalatia,mpk enzi za yohana, mpk enzi za tigo mpk enzi za google.

Hakuna jipya NI wewe kuamua tu usijaribu visivyojaribika ila kiuhalisia nahisi watu wengi Sana washaonjana huko NI Basi TU chumba kinaficha mengi.

Mimi mwenyewe nikikiri hapa sijawahi kula tigo najua watu watabisha tu
...Mbona Unajihami Mapema bila Kuulizwa ?...
 
Wa kulaumiwa hakuna Kila mtu alishiriki ama anashiriki akiwa na akili timamu. Sababu za pesa, Mali, kupendwa zaidi alitumia akili kuzichambua na kama hukutumia akili n uamuzi wake.
 
Acha ujuaji na uongo comrade maana yake n rafikiView attachment 2625043
Vitoto vya chekechea hivi [emoji115]... je upinde maana yake ni nini ? Na neno shoga maana yake siyo rafiki [emoji1787] ujawai kusikia wanawake wanaitana mashoga kwa maana ya rafiki .....pia kuna neno top na bottom unajua maana zake
 
Back
Top Bottom