Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

Mbona hizi maada za nyuma nyuma zimekuwa nyingi Sana hiki kipindi.

Kwani nyie x mmeanza kuangalia lini? Anal ipo tokea enzi za sodoma mpk enzi za watimoteo.

Mpaka enzi za wagalatia,mpk enzi za yohana, mpk enzi za tigo mpk enzi za google.

Hakuna jipya NI wewe kuamua tu usijaribu visivyojaribika ila kiuhalisia nahisi watu wengi Sana washaonjana huko NI Basi TU chumba kinaficha mengi.

Mimi mwenyewe nikikiri hapa sijawahi kula tigo najua watu watabisha tu


"najua watu watabisha tu"

Sikuwa na Mpango wa kuisha, ila kauli hii na wewe ni wale wale.
 
So, Mungu akiondoa gays dunia itakuwa free from sins and safe au hahaaaa
Ushoga sio tatizo kwa wadini tu bali hata kwa wana.sayansi.

Kila kitu hapa duniani kikifanywa kinyume na nature yake lazima iwe tatizo.

Nyoka ni wabaya ila nyoka wakitoweka duniani lazima iwe shida.

Miti ikipungua duniani lazima iwe shida.

Idadi ya wanaume wasio mashoga ikipungua lazima iwe shida na shida hiyo tutaipata wanadamu wote ikiwemo na mashoga wenyewe.
 
Kama una ndugu mwenye hyo ishu ni pm
Sina yeyote ila kuna my coworker one day tulisafiri tukakosa two rooms ikabidi tushee dabo.Usiku akiwa usingizini,sijui alikia anaota au sijui ilikuaje ila nilimuona akijifanyia vitu vilivyofanya niutilie shaka uanaume wake japo ana mke na watoto.
Sidhan kama anajua nilimuona ila tokea siku ile nimekua namuonea huruma sana.Ni mtu mwema sana na mwenye kujali ila kama ni gay sijui nini imemsibu akawa hivyo.
Nimefunga siku 3 kwa ajili yake na nimejiapiza kutomsema popote wala kuacha kumheshimu
 
Mtu yeyote anayefanywa nyuma anavunja sheria za asili na za Kimungu.

Mwanaume anayefanywa nyuma na mwanamke anayefanywa kinyume nyume wote ni walewale, yaani wote ni mashoga.

Kama mwanaume na akili zako timamu unaweza kumfanya mwanamke kinyume na maumbile usiwadharau mashoga wa kiume, hao pia ni wake zako.

Jamii inapokemea mashoga isibebe picha za wafanyaji kinyume na maumbile wanaume tu, wapo wanawake pia tena ni maelfu kwa maelfu nao wakemewe ikiwezekana watengwe.

Sheria za Tanzania mapenzi kinyume na maumbile ni mwiko kwa jinsia zote.

Na ndoa yoyote inakuwa batili pindi tu wanandoa wanapofanya kinyume na maumbile.
Hata kumwomba mke wako makalio hapo tayari ndoa imekuwa haramu, au mke wako akikuomba umfanye matakoni pia hapo mwanaume una haki ya kuvunja ndoa.
Kwa sasa huo ndio umesha kuwa utamaduni wanafirwa sana hawa dada zetu
 
Sina yeyote ila kuna my coworker one day tulisafiri tukakosa two rooms ikabidi tushee dabo.Usiku akiwa usingizini,sijui alikia anaota au sijui ilikuaje ila nilimuona akijifanyia vitu vilivyofanya niutilie shaka uanaume wake japo ana mke na watoto.
Sidhan kama anajua nilimuona ila tokea siku ile nimekua namuonea huruma sana.Ni mtu mwema sana na mwenye kujali ila kama ni gay sijui nini imemsibu akawa hivyo.
Nimefunga siku 3 kwa ajili yake na nimejiapiza kutomsema popote wala kuacha kumheshimu
Kizazi hiki sijui kama kitafika miaka 1000 mbele.
Sad
 
Back
Top Bottom