Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Kwani mwanamke kuliwa tigo ni ushoga?Sasa kwa nini wanajifanya kuchukia ushoga wakati wao ndio wanao waingilia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mwanamke kuliwa tigo ni ushoga?Sasa kwa nini wanajifanya kuchukia ushoga wakati wao ndio wanao waingilia
Ngoja nikueleweshe mkuu,Naona hujaelewa Uzi mkuu
NAKAZIAUanzishwaji wa hizi nyuzi,ari ya kujaribu kwa wengi,inaibuka.
Unadinya kinyeo kiulaini.Kama yeye anapenda, na wewe unapenda, mkakubaliana, mtajua wenyewe
Sio mimi, hao mafirauni.Unadinya kinyeo kiulaini.
Michezo yako ya kudinya kinyeo itakufanya umkose Lamomyheading pekee nimedinda
Kumuingilia mwanamke inakuwa ni jinsia moja kwani?Heshima kwenu wakuu.
Waafrika baadhi yetu tume kuwa wanafki sana hasa katika suala la MAPENZI YA JINSIA MOJA, Asilimia kubwa watu wanaonesha kupinga swala hilo lakini wanahalalisha kumuingilia mwanamke kinyume na maumbile, kama tumeamua kupinga tupinge vyote kwa upande wa mwanaume na mwanamke.
Tuache unafki.
Wadinyaji hawaogopi kulowa kimba. Ni aibu.Sio mimi, hao mafirauni.
Haupo ni ushoga tuuHeshima kwenu wakuu.
Waafrika baadhi yetu tume kuwa wanafki sana hasa katika suala la MAPENZI YA JINSIA MOJA, Asilimia kubwa watu wanaonesha kupinga swala hilo lakini wanahalalisha kumuingilia mwanamke kinyume na maumbile, kama tumeamua kupinga tupinge vyote kwa upande wa mwanaume na mwanamke.
Tuache unafki.
Nakuona IBILISI WA VINYEO umetia kambi kutetea udinyaji wa marinda.Huu mchezo umeshakuwa kawaida siku hizi mabinti wengi wanaliwa kwa mpalange.
Usipomla anakushangaa, ni wewe tu kidume kujiongeza kwa sababu wengi huwa wanaogopa kusema.
Ni ushoga uliokithiri. Acheni!!Kwani mwanamke kuliwa tigo ni ushoga?
Sawa kuna baadhi ya watu, wanakemea ushoga lakini wanafanya mchezo huwo kwa wanawange ndio lengo LA Uzi.Dada sehemu ya haja KUBWA IBAKI KUWA YA HAJA KUBWA.hakuna dini yoyote iliyoruhusu.
Licha ya dini hata kiafya huo mchezo una madhara,na ni uchafu.
Kwa hyo hakuna uhalali wowote,popote.
Ahsante mkuu kwa mchango wako mzuriNi ushoga uliokithiri. Acheni!!
Si ndio michezo yako huwa uko active sana kwenye nyuzi za hizi mamboNakuona IBILISI WA VINYEO umetia kambi kutetea udinyaji wa marinda.
Haina tofauti na ushogaKwani mwanamke kuliwa tigo ni ushoga?
Ushoga lazima iwe wote jinsia mojaHaina tofauti na ushoga
Vyovyote vile,hairuhusiwi,wakemee wafanye kwa wanawake,wakemee wafanye kwa wanaume wenzao .mwisho wa siku ni dhambi tu.si unakumbuka Sodoma na gomorrah?mungu aliwatia kiberiti.sababu ya uchafu huu.kama unafanya fanya.ila si unajua kwake tutmetoka na kwake tutarudi?na siku za kuishi kwa kiumbe aliyezaliwa na mwanamke NI CHACHE?Sawa kuna baadhi ya watu, wanakemea ushoga lakini wanafanya mchezo huwo kwa wanawange ndio lengo LA Uzi.
Sawa nime kuelewa, kama mwanaume ape pata ujasir wa kumuingilia mwanamke siku aki kosa mwanamke na kasha zoea mchezo huwo hato onashida kumuinamisha mwanaume mwenzie ndio unafki nao uzungumizia hapa.Ngoja nikueleweshe mkuu,
Kama watu wawili wamekubaliana kufanya hicho kitendo bila kulazimishwa, sioni tatizo. Hata hivyo ukifikiria, hakuna namna ya kuwazuia.