Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

Heshima kwenu wakuu.

Waafrika baadhi yetu tume kuwa wanafki sana hasa katika suala la MAPENZI YA JINSIA MOJA, Asilimia kubwa watu wanaonesha kupinga swala hilo lakini wanahalalisha kumuingilia mwanamke kinyume na maumbile, kama tumeamua kupinga tupinge vyote kwa upande wa mwanaume na mwanamke.

Tuache unafki.
Kumuingilia mwanamke inakuwa ni jinsia moja kwani?
 
Heshima kwenu wakuu.

Waafrika baadhi yetu tume kuwa wanafki sana hasa katika suala la MAPENZI YA JINSIA MOJA, Asilimia kubwa watu wanaonesha kupinga swala hilo lakini wanahalalisha kumuingilia mwanamke kinyume na maumbile, kama tumeamua kupinga tupinge vyote kwa upande wa mwanaume na mwanamke.

Tuache unafki.
Haupo ni ushoga tuu
 
Sawa kuna baadhi ya watu, wanakemea ushoga lakini wanafanya mchezo huwo kwa wanawange ndio lengo LA Uzi.
Vyovyote vile,hairuhusiwi,wakemee wafanye kwa wanawake,wakemee wafanye kwa wanaume wenzao .mwisho wa siku ni dhambi tu.si unakumbuka Sodoma na gomorrah?mungu aliwatia kiberiti.sababu ya uchafu huu.kama unafanya fanya.ila si unajua kwake tutmetoka na kwake tutarudi?na siku za kuishi kwa kiumbe aliyezaliwa na mwanamke NI CHACHE?
 
Ngoja nikueleweshe mkuu,

Kama watu wawili wamekubaliana kufanya hicho kitendo bila kulazimishwa, sioni tatizo. Hata hivyo ukifikiria, hakuna namna ya kuwazuia.
Sawa nime kuelewa, kama mwanaume ape pata ujasir wa kumuingilia mwanamke siku aki kosa mwanamke na kasha zoea mchezo huwo hato onashida kumuinamisha mwanaume mwenzie ndio unafki nao uzungumizia hapa.
 
Back
Top Bottom