Wanawake wanaongoza kuvunja ndoa Kilimanjaro

Wanawake wanaongoza kuvunja ndoa Kilimanjaro

Bolotoba

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2024
Posts
3,424
Reaction score
7,706
Binafsi mimi niliamua kuahirisha ndoa yangu na mpenzi wangu tuliedumu fours years kwenye uchumba Baada ya kufika kwao nikakuta mama na bibi, shangazi, mama wadogo wapo lakini, baba, babu, wajomba, baba wadogo asilimia kubwa walikuwa wameshatangulia mbele za haki
Miji hiyo yote zinaendeshwa na wanawake

Ilinifikirisha sana, nikaamua kufanya maamuzi magumu na mahari niliacha hukohuko nimeamua kutulia
uzuri " we men we age like wine" no Ned to hurry

Napata maswali mawili
1.je wanafariki kimazingara
2.Ni zile dawa zinazosemekana wanaume hupewa na kufa pole Pole maybe 2 to 5 years
3.Ni magonjwa yanatokana na kupiga kazi ngumu ngumu muda mrefu?
4.je ni life style tu? Mfano pimb kupita kiasi Maana wachaga kwa kuzimua ni balaa

Karibuni kwa michango
 

Attachments

  • Screenshot_20241213_101319.jpg
    Screenshot_20241213_101319.jpg
    268.4 KB · Views: 6
Binafsi mimi niliamua kuahirisha ndoa yangu na mpenzi wangu tuliedumu fours years kwenye uchumba Baada ya kufika kwao nikakuta mama na bibi, shangazi, mama wadogo wapo lakini, baba, babu, wajomba, baba wadogo asilimia kubwa walikuwa wameshatangulia mbele za haki
Miji hiyo yote zinaendeshwa na wanawake

Ilinifikirisha sana, nikaamua kufanya maamuzi magumu na mahari niliacha hukohuko nimeamua kutulia
👉uzuri " we men we age like wine" no Ned to hurry

Napata maswali mawili
1.je wanafariki kimazingara
2.Ni zile dawa zinazosemekana wanaume hupewa na kufa pole Pole maybe 2 to 5 years
3.Ni magonjwa yanatokana na kupiga kazi ngumu ngumu muda mrefu?
4.je ni life style tu? Mfano pimb kupita kiasi Maana wachaga kwa kuzimua ni balaa

Karibuni kwa michango
When u use ur brain instead of ur 🍆 to think, u always make the right decision
 
Uamuzi uliochukua ni sahihi! Nina rafiki yangu msukuma yeye alilipiwa mahari kabisa na mwanamke huyo wa kichaga! Huwezi ukashindana na msukuma kwa mwanamke wa kichaga! Wanawake wa kichaga wanawapenda mno wasukuma wa kiume! Sikuwahi kujua kuna nini.
Aise yule Msukuma alikoswa koswa kuawa kwenye chakula.
Baada ya kuona hivyo alimwachia kila kitu akaenda kuanza upya!
Na yeye kilichomshangaza kule uchagani wajane kwenye ukoo wa kichaga walikuwa wengi,na yeye alijiuliza hivyo hivyo lakini hakushituka mpaka yalipomkuta.
 
Uamuzi uliochukua ni sahihi! Nina rafiki yangu msukuma yeye alilipiwa mahari kabisa na mwanamke huyo wa kichaga! Huwezi ukashindana na msukuma kwa mwanamke wa kichaga! Wanawake wa kichaga wanawapenda mno wasukuma wa kiume! Sikuwahi kujua kuna nini.
Aise yule Msukuma alikoswa koswa kuawa kwenye chakula.
Baada ya kuona hivyo alimwachia kila kitu akaenda kuanza upya!
Na yeye kilichomshangaza kule uchagani wajane kwenye ukoo wa kichaga walikuwa wengi,na yeye alijiuliza hivyo hivyo lakini hakushituka mpaka yalipomkuta.
Wasukuma ni washamba wa rangi na kama unavyojua wachaga wengi wamejjaliwa Rangi nzuri.
 
Uamuzi uliochukua ni sahihi! Nina rafiki yangu msukuma yeye alilipiwa mahari kabisa na mwanamke huyo wa kichaga! Huwezi ukashindana na msukuma kwa mwanamke wa kichaga! Wanawake wa kichaga wanawapenda mno wasukuma wa kiume! Sikuwahi kujua kuna nini.
Aise yule Msukuma alikoswa koswa kuawa kwenye chakula.
Baada ya kuona hivyo alimwachia kila kitu akaenda kuanza upya!
Na yeye kilichomshangaza kule uchagani wajane kwenye ukoo wa kichaga walikuwa wengi,na yeye alijiuliza hivyo hivyo lakini hakushituka mpaka yalipomkuta.
Mimi mwenyewe msukuma napenda wachaga kinoma
 
Uamuzi uliochukua ni sahihi! Nina rafiki yangu msukuma yeye alilipiwa mahari kabisa na mwanamke huyo wa kichaga! Huwezi ukashindana na msukuma kwa mwanamke wa kichaga! Wanawake wa kichaga wanawapenda mno wasukuma wa kiume! Sikuwahi kujua kuna nini.
Aise yule Msukuma alikoswa koswa kuawa kwenye chakula.
Baada ya kuona hivyo alimwachia kila kitu akaenda kuanza upya!
Na yeye kilichomshangaza kule uchagani wajane kwenye ukoo wa kichaga walikuwa wengi,na yeye alijiuliza hivyo hivyo lakini hakushituka mpaka yalipomkuta

Binafsi mimi niliamua kuahirisha ndoa yangu na mpenzi wangu tuliedumu fours years kwenye uchumba Baada ya kufika kwao nikakuta mama na bibi, shangazi, mama wadogo wapo lakini, baba, babu, wajomba, baba wadogo asilimia kubwa walikuwa wameshatangulia mbele za haki
Miji hiyo yote zinaendeshwa na wanawake

Ilinifikirisha sana, nikaamua kufanya maamuzi magumu na mahari niliacha hukohuko nimeamua kutulia
uzuri " we men we age like wine" no Ned to hurry

Napata maswali mawili
1.je wanafariki kimazingara
2.Ni zile dawa zinazosemekana wanaume hupewa na kufa pole Pole maybe 2 to 5 years
3.Ni magonjwa yanatokana na kupiga kazi ngumu ngumu muda mrefu?
4.je ni life style tu? Mfano pimb kupita kiasi Maana wachaga kwa kuzimua ni balaa

Karibuni kwa michango
1-hii mada kwa sababu ina mchaga ndani yake apa lazima ipate wachangiaji wengi.

2- kwa Tanzania Kilimanjaro ndo yenye wazee wengi manake life span ni ndefu.

3-umeandika kwa ushabiki ili upate attention
Binafsi mimi niliamua kuahirisha ndoa yangu na mpenzi wangu tuliedumu fours years kwenye uchumba Baada ya kufika kwao nikakuta mama na bibi, shangazi, mama wadogo wapo lakini, baba, babu, wajomba, baba wadogo asilimia kubwa walikuwa wameshatangulia mbele za haki
Miji hiyo yote zinaendeshwa na wanawake

Ilinifikirisha sana, nikaamua kufanya maamuzi magumu na mahari niliacha hukohuko nimeamua kutulia
uzuri " we men we age like wine" no Ned to hurry

Napata maswali mawili
1.je wanafariki kimazingara
2.Ni zile dawa zinazosemekana wanaume hupewa na kufa pole Pole maybe 2 to 5 years
3.Ni magonjwa yanatokana na kupiga kazi ngumu ngumu muda mrefu?
4.je ni life style tu? Mfano pimb kupita kiasi Maana wachaga kwa kuzimua ni balaa

Karibuni kwa michango
 
1-hii mada kwa sababu ina mchaga ndani yake apa lazima ipate wachangiaji wengi.

2- kwa Tanzania Kilimanjaro ndo yenye wazee wengi manake life span ni ndefu.

3-umeandika kwa ushabiki ili upate attention
Life span, hivi ulishaenda kwa wasukuma vijijini, au kwa wakulya uone jinsi wanaishi mingi
 
Life span, hivi ulishaenda kwa wasukuma vijijini, au kwa wakulya uone jinsi wanaishi mingi
nacheza na official statistics za sensa kwa Tanzania mkoa wenye watu wengi above 60yrs ni Kilimanjaro na bado mkoa ni mdogo kieneo .

iyo mwanza ulioitaja licha ya ukubwa wa mkoa na udadi kubwa ya watu ila watu above 60 yrs ni wachache ulilinganisha na klmanjaro according to statistics..
 
Back
Top Bottom