Aisee wee sii umesema upo silcon valley, mambo ya tmk unajuaje bro 🤣🤣🤣🤣Hata hapa Dar es Salaam. Ukienda mahakama ya Temeke.. watu wanaachana hatari yani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee wee sii umesema upo silcon valley, mambo ya tmk unajuaje bro 🤣🤣🤣🤣Hata hapa Dar es Salaam. Ukienda mahakama ya Temeke.. watu wanaachana hatari yani
Life expectancy ya bongo miaka mingapi? Maana nina 46 nianze kujipanga mapemanacheza na official statistics za sensa kwa Tanzania mkoa wenye watu wengi above 60yrs ni Kilimanjaro na bado mkoa ni mdogo kieneo .
iyo mwanza ulioitaja licha ya ukubwa wa mkoa na udadi kubwa ya watu ila watu above 60 yrs ni wachache ulilinganisha na klmanjaro according to statistics..
kwa Tanzania ni miaka 67Life expectancy ya bongo miaka mingapi? Maana nina 46 nianze kujipanga mapema
Ah kumbe bado nina life la kuishi, mika 20 mbele. Wacha nile mbususukwa Tanzania ni miaka 67
😅😅 bwanaa weee mie napajua Hadi meeda, rambo pale manzese, kimboka.. semuse temeka kitaa changu hicho.. nilendaga kumpa mtu talakaAisee wee sii umesema upo silcon valley, mambo ya tmk unajuaje bro 🤣🤣🤣🤣
Mkuu nishapitia kwenye sekeseke+kesi ya ndoa 2012 hukoUnataka kuniambia kuwa hujui Wanaume wanazaliwa wengi kuliko wanawake na wanakufa Haraka kuliko wanawake? Kama hujui jifunze kuhusu hili ili usishangae tena vitu vya kawaida.
AiseeUamuzi uliochukua ni sahihi! Nina rafiki yangu msukuma yeye alilipiwa mahari kabisa na mwanamke huyo wa kichaga! Huwezi ukashindana na msukuma kwa mwanamke wa kichaga! Wanawake wa kichaga wanawapenda mno wasukuma wa kiume! Sikuwahi kujua kuna nini.
Aise yule Msukuma alikoswa koswa kuawa kwenye chakula.
Baada ya kuona hivyo alimwachia kila kitu akaenda kuanza upya!
Na yeye kilichomshangaza kule uchagani wajane kwenye ukoo wa kichaga walikuwa wengi,na yeye alijiuliza hivyo hivyo lakini hakushituka mpaka yalipomkuta.
Ndyo uoeee sasa 😄Ah kumbe bado nina life la kuishi, mika 20 mbele. Wacha nile mbususu
Ah ndio baada ya talaka ukazamia mamtoni 🤣🤣🤣🤣😅😅 bwanaa weee mie napajua Hadi meeda, rambo pale manzese, kimboka.. semuse temeka kitaa changu hicho.. nilendaga kumpa mtu talaka
Sasa hivi hamna pingu ya maisha 😅😅Ndyo uoeee sasa 😄
Funga pingu ya maisha mzee
Ova
😄 ila syo wote....kiujumla wanawake wa asili nyingi mwalimu wao ni mmoja tuDuuuh huko ukioa inabidi uwe machale kundesa.
Wee tatizo uliingia kwenye ndoa ukidhani mbususu yako peke yako 🤣🤣🤣🤣Sasa hivi hamna pingu ya maisha 😅😅
Ndoa za siku hizi uhuni
Formula iko hivi
Ndio mambo yanayochanganya akili.Formula iko hivi
Unapopenda hupendwi
Na usipopendwa we unapapenda
Ova
Hao ndio wazazi sasaKuna jirani yangu hapa aliwaambia wazazi anaoa mchaga waliwaka hatari walimwambia akimuoa watamtenga ukoo mzima. haya mambo yanashangaza sana
😅😅 Mchungaji alinizidi kete mwanawanae.. mchungaji alipendea kuliko mie.. nikaona isiwee taaabuAh ndio baada ya talaka ukazamia mamtoni 🤣🤣🤣🤣
Sasa talaka ya nini mwanawane au watu wa tmk walikugegedea mbususu ya mkeo wakati upo silcone valley🤣🤣🤣🤣
Maana na nyie wanaume wenye akili za binary masuala ya mademu mnakuwaga mazoba kweli 🤣🤣🤣🤣