Wanawake wanaongoza kuvunja ndoa Kilimanjaro

Wanawake wanaongoza kuvunja ndoa Kilimanjaro

nacheza na official statistics za sensa kwa Tanzania mkoa wenye watu wengi above 60yrs ni Kilimanjaro na bado mkoa ni mdogo kieneo .

iyo mwanza ulioitaja licha ya ukubwa wa mkoa na udadi kubwa ya watu ila watu above 60 yrs ni wachache ulilinganisha na klmanjaro according to statistics..
Life expectancy ya bongo miaka mingapi? Maana nina 46 nianze kujipanga mapema
 
Uamuzi uliochukua ni sahihi! Nina rafiki yangu msukuma yeye alilipiwa mahari kabisa na mwanamke huyo wa kichaga! Huwezi ukashindana na msukuma kwa mwanamke wa kichaga! Wanawake wa kichaga wanawapenda mno wasukuma wa kiume! Sikuwahi kujua kuna nini.
Aise yule Msukuma alikoswa koswa kuawa kwenye chakula.
Baada ya kuona hivyo alimwachia kila kitu akaenda kuanza upya!
Na yeye kilichomshangaza kule uchagani wajane kwenye ukoo wa kichaga walikuwa wengi,na yeye alijiuliza hivyo hivyo lakini hakushituka mpaka yalipomkuta.
Aisee
 
😅😅 bwanaa weee mie napajua Hadi meeda, rambo pale manzese, kimboka.. semuse temeka kitaa changu hicho.. nilendaga kumpa mtu talaka
Ah ndio baada ya talaka ukazamia mamtoni 🤣🤣🤣🤣
Sasa talaka ya nini mwanawane au watu wa tmk walikugegedea mbususu ya mkeo wakati upo silcone valley🤣🤣🤣🤣
Maana na nyie wanaume wenye akili za binary masuala ya mademu mnakuwaga mazoba kweli 🤣🤣🤣🤣
 
Ah ndio baada ya talaka ukazamia mamtoni 🤣🤣🤣🤣
Sasa talaka ya nini mwanawane au watu wa tmk walikugegedea mbususu ya mkeo wakati upo silcone valley🤣🤣🤣🤣
Maana na nyie wanaume wenye akili za binary masuala ya mademu mnakuwaga mazoba kweli 🤣🤣🤣🤣
😅😅 Mchungaji alinizidi kete mwanawanae.. mchungaji alipendea kuliko mie.. nikaona isiwee taaabu

Hivi hapo ulipo najua huwezi kosa nama ya haka katoto nimekapendaa.. kanafaa kunidekea dekea kana sura amazingi ya mideko mideko.. hapa naweza cyber threat tu.. mbusu Wala haziniwazishi
 
Back
Top Bottom