Wanawake wanaongoza kuvunja ndoa Kilimanjaro

Wanawake wanaongoza kuvunja ndoa Kilimanjaro

Kuna jirani yangu hapa aliwaambia wazazi anaoa mchaga waliwaka hatari walimwambia akimuoa watamtenga ukoo mzima. haya mambo yanashangaza sana
Syo wanawake wa kichaga wote wana shida mfano wanawake kutoka rombo wale wapambanaji
We muwezeshe tu uone anavyosukuma familia!
Ila wale kutoka nanii huko shida 😄

Ova
 
Kuna jirani yangu hapa aliwaambia wazazi anaoa mchaga waliwaka hatari walimwambia akimuoa watamtenga ukoo mzima. haya mambo yanashangaza sana
Sema mademu wa kichaga mwanzo kwenye hustle mtaenda vizuri, mkisha fanikiwa .. kunaanza picha picha, na hasa kama mwanaume unaanza kazi za nje.. hapo uje upo kwenye danger zone.. ila ni wanawake wazuri kuanza nao from zero
 
Haka kato
😅😅 Mchungaji alinizidi kete mwanawanae.. mchungaji alipendea kuliko mie.. nikaona isiwee taaabu

Hivi hapo ulipo najua huwezi kosa nama ya haka katoto nimekapendaa.. kanafaa kunidekea dekea kana sura amazingi ya mideko mideko.. hapa naweza cyber threat tu.. mbusu Wala haziniwazishi
View attachment 3175618
Haka katoto kazuri sasa huyu ata akisema she dnt bliv in 50/50 unasema sawa.
Ka wapi haka?

Ah wee mwanawane mchungaji nae kalamba asali....🤣🤣🤣🤣
 
Sema mademu wa kichaga mwanzo kwenye hustle mtaenda vizuri, mkisha fanikiwa .. kunaanza picha picha, na hasa kama mwanaume unaanza kazi za nje.. hapo uje upo kwenye danger zone.. ila ni wanawake wazuri kuanza nao from zero
Hizo tabia wanazo kweli au ni stori za vijiweni
 
Haka kato

Haka katoto kazuri sasa huyu ata akisema she dnt bliv in 50/50 unasema sawa.
Ka wapi haka?

Ah wee mwanawane mchungaji nae kalamba asali....🤣🤣🤣🤣
😅😅 Wachungaji wa siku hizi ni problem mwanawaneee..

Haka katoto unakujua banaa wee
 
Back
Top Bottom