Wanawake wanaotoka Nyanda za Juu Kusini (Mbeya, Njombe & Iringa regions)

Iringa waondoe wako vizuri ila wahehe nao siku hz wamekuwa vicheche hatari
 
Kama hii ndio mjadala inayojadiliwa na wasomi kutoka vyuo vikuu mbali mbali......bado tuna safari ndefu sana kuyafikia malengo kama taifa....
 

uzuri wa kitu upo machoni pa mtazamaji. hawa wanawake wanaooneka warembo kinacho wabeba cha ziada ni jinsi wanavyo jiamini na kujitambua.
 
Mimi ni MTU wa Mara mzanaki nimeowa mbaya bans acheni uongo au uzalilishaji wenu hapa shemeji yenu ni MTU wa mbeya lakini ona kisu hiki
 

Attachments

  • 1451540165722.jpg
    52.8 KB · Views: 42
na wachaga c wanatembeleaga mikono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…