Kwa maoni yangu Mbulu, singida, Kondoa, Tanga na Mkoa wa kilimanjaro ndio mikoa/wilaya zenye warembo TZ (Sura, nywele, rangi).
MbalIzi anaitwa nan mkuu.Hakuna kitu kama hicho kuna Demu namjua anatokea mbalizi aisee si mchezo anakalisha maduu wa DSM wote.
Haaaaaaaaa Hatari Nimelisahau Jina Lake.Mba
MbalIzi anaitwa nan mkuu.
Naunga mkono hoja.Sio kweli kabisa kuna watoto wako vizuri sana tu sijaona Mkoa ambao una wanawake wazuri tu, Mungu anastahili sifa jamani na ndio maana kila mtu ana weakness zake utakuta mwanamke smart ila vingimbi ni shida sana utakuta sura umbo ila mtumbo huo ni shida ila ninachojua kila eneo kuna wazuri warembo na wabaya pia.
Fallacy of argumentum
Si kweli!!!!!!! KUNAGENES ZA KYELA MBEYA ZINA VIJUNGU BALAAAAAAA! MIGUUU KAMA MATENDE!!! Sema wanawake wa kyela bana washazoea pesa ya MCHELE, tabu yao moja tuuuuuu! Waulize waume zao.
Nywele makabila yote zipo vilevile labda hapo Mbulu kidogo kuna tofauti sababu wale sio wabantu hivo baadhi wanavinasaba vya nywele laini toka huko Kaskazini mwa Afrika. Wakaskazini rangi na sura zinawabeba.Kwa maoni yangu Mbulu, singida, Kondoa, Tanga na Mkoa wa kilimanjaro ndio mikoa/wilaya zenye warembo TZ (Sura, nywele, rangi).
Mbulepo ujoo[emoji3] [emoji3] [emoji3] , kasoro Mimi tuumtukome watu tuna mipaja.miwowo.mitumbo.mititi.miguu yetu halafu easement sie wabaya?wanaumwa hao wanaosema hivyo
Watu Wa huko wako vzr mkuu, ila pesa tamu aisee, mwache tu azipendeeAcha mambo yako,kafipa kangu n hatari tatizo kanapenda hela balaa.
falasi ofu agyumentamu 😎Kiswahili chake?