Uliyeachana nae alivaa kikuku? Uhuni ni tabia tu dogoNi uhuni kuvaa kikukuu
🥴Mwanamke bila shanga ni mwanaume
Mimi sijawaii waelewa sipendi kabisa naona kama nipo na mchawi sugu
Ni wale wale kasoro majina tu shemeji yangu anavaa kikukuu na kaka Angu katulia tuliii
Na wewe unavaa kwasabubu umekuta wengine wanavaa au baada ya kujua humuhimu?
Baada ya kujua umuhimu
Umuhimu wake up?
Lini nipe ratibaTupange mechi uone
We ppamoja na kuvaa nikabu bado uunava shang?Mwanamke hatakiwi kuwa kiuno kitupu kama hamtaki wavae cheni wanunulieni cheni ya dhahabu