Kosa la nani sasa hapo Jamani? Mimi nahusikaje na mtu aliyenioa wakati anajua kabisa simpendi 😅😜 mwache aniabudu Jamani.Swali kwa nini wewe ukubali kuolewa na mwanaume usiye mpenda ? Kwani anapokua king'ang'anizi anakuteka bila wewe kujijua?
Mungu ndo aliandika ktk kitabu cha mwanzo sura ya tatu au nne kuwa mwanaume atamtawala mwanamke.Hivi kwanza kati ya mwanamke na mwanaume ni nani ambaye anateseka na anaumia kumuabudu na kumfurahisha mwenzie, ni nani ambaye toka enzi na enzi jamii imemlazimisha kukubali kutawaliwa na kuwa chini ya mwenzake kwa sababu zisizo na kichwa wala miguu, yani ninyi mambo yote mnayotaka mfanyiwe na wanawake hamuoni kama ni mateso na maumivu kwao ila mambo wanayoyataka wanawake ndio mnaona kama wanataka mwaabudu
Yeaaaa!so sad
Ukianza kuabudu mwanamke jua umekaribia kufa, mwanaume halisi hubabaishwi na K ambazo zimejaa kila Kona ya mtaa, usimnyenyekee mwanamkeNAKAZIA, Hakuna kiumbe kinachopitia Mateso kama Mwanaume alieamua kuabudu Mwanamke, ni nafuu ya ahela.
Hakikq.Ukianza kuabudu mwanamke jua umekaribia kufa, mwanaume halisi hubabaishwi na K ambazo zimejaa kila Kona ya mtaa, usimnyenyekee mwanamke
Naomba Utusaidie Hizo sababu "zisizo na Kichwa wala Miguu" Tuzione Labda ni kweli uyasemayo.Hivi kwanza kati ya mwanamke na mwanaume ni nani ambaye anateseka na anaumia kumuabudu na kumfurahisha mwenzie, ni nani ambaye toka enzi na enzi jamii imemlazimisha kukubali kutawaliwa na kuwa chini ya mwenzake kwa sababu zisizo na kichwa wala miguu, yani ninyi mambo yote mnayotaka mfanyiwe na wanawake hamuoni kama ni mateso na maumivu kwao ila mambo wanayoyataka wanawake ndio mnaona kama wanataka mwaabudu
🤣🤣🤣Wanatia huruma kweli😥[emoji23][emoji23] Yaani kila baada ya dakika kadhaa nyuzi ni hizi hizi.
Wanawake walio wengi wanapenda kuabudiwa , na kama wewe ni mwanaume ambae umeshaamua kuto abudu mwanamke yoyote, jua wewe ni mwanaume makini sana.
Wanawake wengi wanahisi kwakua ni wanawake basi kila mwanaume inabidi amjali kama kiumbe cha kipekee , kumnyenyekea na kama huyo binti amejaliwa urembo kidogo hali ndio inakua mbaya Zaidi.
Hio ndio mindset iliopo kichwani hasa hasa kwa hawa watoto wa buku mbili (2000) wakifuatiwa na hawa mashangazi ya 95 to 80.
Wanawake walio wengi humu hasa hawa akina Jadda mindset zao ni kwamba mwanaume inabidi ateseke na kuhangaika sana ili kumfurahisha mwanamke .
wtf! kwamba mwanaume inatakiwa apigike kisawasawa ili wao waishi maisha bora ya anasa.
Na matumaini yao makubwa ni kuona wanaume wana waabudu wao, nahata kuwa nyenyekea pale inapo bidi. Jambo la kusikitisha ni kwamba hata ikitokea mwanaume akawa mwema kwa kiasi hicho wanacho taka bado wata muona fala na malipo yake ni dharau, cheating na kejeli za hapa na pale.
Na hapo ndio unakuja ukweli kwamba usiwe mwema kwa mwanamke kiasi hicho mana unamfanya kujuona kua yeye ni mungu mtu ambapo mwisho wake utakua wewe mtumwa na atakutumikisha kisawasawa.
Hakuna mwanaume anaeteseka kwenye mikono ya mwanamke kama mwanaume ambae ameamua kumuabudu mwanamke , kumtimizia kwa kila atakacho hitaji.
NEVER EVER BE A NICE GUY TO A WOMAN, IT ALWAYS DOESN’T END WELL FOR YOU.
BE WISE.
Kama wanawake wenyewe ni dizaini ya Jadda hao ni WA kupiga na kusepa,ni mafeministi haoEARTH IS HARD
Ishi nao kwa akili tu."Jambo la kusikitisha ni kwamba hata ikatokea Mwanaume akawa mwema kiasi hiko wanachotaka bado watamuona fala na malipo yake ni Dharau na cheating na Kejeli za hapa na pale"
Hilo lisingle mother halina akili utapoteza muda bure, lishaharibikiwa linataka na mabinti wengine waliopo humu nao wazalishwe na kuachwa kama yeye ili walioharibikiwa wawe wengi, kwamba Msiba wa wengi ni sherehe.Naomba Utusaidie Hizo sababu "zisizo na Kichwa wala Miguu" Tuzione Labda ni kweli uyasemayo.
Pia Utuambie Kwa kule Mke kuwa Chini ya Mume na Mume Ndio Kuwa Mwenye Sauti katika familia Kulisababisha Mateso gani kwa mwanamke ndani Familia za Mfumo huo.??
Huyo ni kumzalisha mtoto wa tatu, tuhakikishe ana watoto sita kila mmoja na baba yake.Kama wanawake wenyewe ni dizaini ya Jadda hao ni WA kupiga na kusepa,ni mafeministi hao
Tuje na kataa mwanamke.....make wanawake wamekua changamoto, twende na me au sioWe sema kweli 🤭?
Huwa anasema tuna Mu-attack yeye badala ya kujenga Hoja.Hilo lisingle mother halina akili utapoteza muda bure, lishaharibikiwa linataka na mabinti wengine waliopo humu nao wazalishwe na kuachwa kama yeye ili walioharibikiwa wawe wengi, kwamba Msiba wa wengi ni sherehe.
Hakika hii itabamba sana...tutawafariji mnoTuje na kataa mwanamke.....make wanawake wamekua changamoto, twende na me au sio