Wanawake wanapenda kuabudiwa

Wanawake wanapenda kuabudiwa

Swali kwa nini wewe ukubali kuolewa na mwanaume usiye mpenda ? Kwani anapokua king'ang'anizi anakuteka bila wewe kujijua?
Kosa la nani sasa hapo Jamani? Mimi nahusikaje na mtu aliyenioa wakati anajua kabisa simpendi 😅😜 mwache aniabudu Jamani.

Tena wa hivi wanacare mfano hakuna kuliko tunaowapenda.

Waacheni kabisa wanajua wanachokifanya.
 
Hivi kwanza kati ya mwanamke na mwanaume ni nani ambaye anateseka na anaumia kumuabudu na kumfurahisha mwenzie, ni nani ambaye toka enzi na enzi jamii imemlazimisha kukubali kutawaliwa na kuwa chini ya mwenzake kwa sababu zisizo na kichwa wala miguu, yani ninyi mambo yote mnayotaka mfanyiwe na wanawake hamuoni kama ni mateso na maumivu kwao ila mambo wanayoyataka wanawake ndio mnaona kama wanataka mwaabudu
Mungu ndo aliandika ktk kitabu cha mwanzo sura ya tatu au nne kuwa mwanaume atamtawala mwanamke.
 
NAKAZIA, Hakuna kiumbe kinachopitia Mateso kama Mwanaume alieamua kuabudu Mwanamke, ni nafuu ya ahela.
Ukianza kuabudu mwanamke jua umekaribia kufa, mwanaume halisi hubabaishwi na K ambazo zimejaa kila Kona ya mtaa, usimnyenyekee mwanamke
 
Wanawake wapo wa kila aina.

Tafuta unayeendana naye.
 
Mwanaume hajaumbwa kwa ajili ya mwanamke bali Mwanamke kwa ajili ya mwanaume. thats a nature of creation kwenda kinyume nayo ndio mtakuja hapa kila siku mnalialia kama wendawazimu.
 
Hivi kwanza kati ya mwanamke na mwanaume ni nani ambaye anateseka na anaumia kumuabudu na kumfurahisha mwenzie, ni nani ambaye toka enzi na enzi jamii imemlazimisha kukubali kutawaliwa na kuwa chini ya mwenzake kwa sababu zisizo na kichwa wala miguu, yani ninyi mambo yote mnayotaka mfanyiwe na wanawake hamuoni kama ni mateso na maumivu kwao ila mambo wanayoyataka wanawake ndio mnaona kama wanataka mwaabudu
Naomba Utusaidie Hizo sababu "zisizo na Kichwa wala Miguu" Tuzione Labda ni kweli uyasemayo.


Pia Utuambie Kwa kule Mke kuwa Chini ya Mume na Mume Ndio Kuwa Mwenye Sauti katika familia Kulisababisha Mateso gani kwa mwanamke ndani Familia za Mfumo huo.??
 
Wanawake walio wengi wanapenda kuabudiwa , na kama wewe ni mwanaume ambae umeshaamua kuto abudu mwanamke yoyote, jua wewe ni mwanaume makini sana.

Wanawake wengi wanahisi kwakua ni wanawake basi kila mwanaume inabidi amjali kama kiumbe cha kipekee , kumnyenyekea na kama huyo binti amejaliwa urembo kidogo hali ndio inakua mbaya Zaidi.

Hio ndio mindset iliopo kichwani hasa hasa kwa hawa watoto wa buku mbili (2000) wakifuatiwa na hawa mashangazi ya 95 to 80.

Wanawake walio wengi humu hasa hawa akina Jadda mindset zao ni kwamba mwanaume inabidi ateseke na kuhangaika sana ili kumfurahisha mwanamke .

wtf! kwamba mwanaume inatakiwa apigike kisawasawa ili wao waishi maisha bora ya anasa.

Na matumaini yao makubwa ni kuona wanaume wana waabudu wao, nahata kuwa nyenyekea pale inapo bidi. Jambo la kusikitisha ni kwamba hata ikitokea mwanaume akawa mwema kwa kiasi hicho wanacho taka bado wata muona fala na malipo yake ni dharau, cheating na kejeli za hapa na pale.

Na hapo ndio unakuja ukweli kwamba usiwe mwema kwa mwanamke kiasi hicho mana unamfanya kujuona kua yeye ni mungu mtu ambapo mwisho wake utakua wewe mtumwa na atakutumikisha kisawasawa.

Hakuna mwanaume anaeteseka kwenye mikono ya mwanamke kama mwanaume ambae ameamua kumuabudu mwanamke , kumtimizia kwa kila atakacho hitaji.

NEVER EVER BE A NICE GUY TO A WOMAN, IT ALWAYS DOESN’T END WELL FOR YOU.
BE WISE.
EARTH IS HARD
Kama wanawake wenyewe ni dizaini ya Jadda hao ni WA kupiga na kusepa,ni mafeministi hao
 
"Jambo la kusikitisha ni kwamba hata ikatokea Mwanaume akawa mwema kiasi hiko wanachotaka bado watamuona fala na malipo yake ni Dharau na cheating na Kejeli za hapa na pale"
Ishi nao kwa akili tu.
 
Kama kweli uko na msimamo huo na unaishi nao basi nakupa salute,ila kama unatutia tu ujasiri sisi halafu wewe ni muabudu wanawake basi nauamuru moto wa jehanamu ukufuate huko uliko na ukulambe
 
Naomba Utusaidie Hizo sababu "zisizo na Kichwa wala Miguu" Tuzione Labda ni kweli uyasemayo.


Pia Utuambie Kwa kule Mke kuwa Chini ya Mume na Mume Ndio Kuwa Mwenye Sauti katika familia Kulisababisha Mateso gani kwa mwanamke ndani Familia za Mfumo huo.??
Hilo lisingle mother halina akili utapoteza muda bure, lishaharibikiwa linataka na mabinti wengine waliopo humu nao wazalishwe na kuachwa kama yeye ili walioharibikiwa wawe wengi, kwamba Msiba wa wengi ni sherehe.
 
Hilo lisingle mother halina akili utapoteza muda bure, lishaharibikiwa linataka na mabinti wengine waliopo humu nao wazalishwe na kuachwa kama yeye ili walioharibikiwa wawe wengi, kwamba Msiba wa wengi ni sherehe.
Huwa anasema tuna Mu-attack yeye badala ya kujenga Hoja.
Lakini yeye utamsika mara Wanaume wa Jf nimewazarau mara sijui Ni Vivulana na wala sisi hatujawahi kusema Jadda anatu-attack badala ya kujenga Hoja.


Sasa nataka aje Tujenge Hoja. Namjua Huwa Ukishambana kwenye Hoja anakimbilia kwa Few Cases za wanaume ana generalize Wote.
 
Back
Top Bottom