Wanawake wanapenda ma handsome

Wanawake wanapenda ma handsome

Exactly,,Wanaopinga ujue wana sura private/personal.
We bwana mdogo nilishakwambia umebarikiwa UKILAZA WA ASILI. Huyu bidada amekwambia wasichana wanapenda mahendsome!! Ulitakiwa ujiongeze kuwa ameandika kwa kejeli akimaanisha kuna tofauti kati ya msichana na mwanamke!! Loohh! Ujinga ni kipaji alisema mwalimu Nyerere!! Hasa ujinga wa kurithi toka kwa wazazi!! Cc FaizaFoxy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa wadada wanawapa moyo tu ukiwa handsome nan atakukataa

Yaan uhandsome n kila kitu sasa ndugu yangu yu mfupi na sio handsome

Ni kutafuta mapesa na mahela kwa ujumla bila hivyo hutoboi mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uhendsome wa mwanaume ni pesa, waangalie watu wenye pesa na namna wanvyooa wasichana wazuri, warembo utazani hawaendi haja kubwa. We katengeneze/kachonge sura kama Michael Jackson kama huna pesa wasahau warembo utawala kwa ndoto.
Hakuna mwanamke anapenda mwanaume ambaye sio handsome.Kama mnakumbuka mke wa Farao aliambiwa na wanawake wengine anawezaje kumwacha Yusufu hivi hivi bila kumlazimisha wafanye mapenzi.

Just imagine mdada anajikata mpaka na kisu akiwa anamwangalia yusufu kwa uzuri aaliokuwa nao yusufu. Akamlazimisha yusufu kamkimbia dakika ya mwisho kabisa akaamua kumgeuzia kibao kwamba yusufu alitaka kumbaka.

Kinachoshangaza mwanamke na yeye hachelewi kukupoteza hata Kama akikupenda sana hilo sote tulijue na ndo maana tumeagizwa tukae nao kwa akili.lakini pia mkae mkijua hawezi kukupenda Kama wewe sio handsome labda uwe na pesa.

Huu ndo ukweli mchungu wanaume wenye sura ngumu sana mnisamehe baba zangu. Nasikia wengine mnasema kuwa wadada wanavutiwa na wanaume wenye sura mbaya za kikauzu.

Huku Ni kujitia tu moyo, tumeona mfano wa mke wa Farao alikuwa hampendi mumewe anamuona kama mzee mzee.

Hizi simulizi za kwenye vitabu vya dini Ni za kweli kabisa zimetokea karne nyingi zamani lakini hata Sasa mambo Ni Yale Yale huwa yanajirudia tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenye sura mbaya tuna taabu sana..Yaaan upo kwenye daladala akiingia mtoto akikuangalia tu ni KOSA..haji kabisa kukataa na wewe kwenye hiyo seat Hata kama iko free..

#Muungwana_John
 
Back
Top Bottom