Wanawake wanatusifia wanaume wa Mbeya tuna miili ya kiume na macho yenye mvuto.

mi mbona wa uko lakini sisifiwi we kama ukitaka kununua muhindi unatoa hela zote alafu ndo utoe jero lilo katikati lazima utasifiwa ba kumyitu maana ushamba huo bado upo
 
Mbona hujagusia rangi ya ngozi
 
vizuri na hayo macho ndio yatalipa bills na kumtunza
 
Watu wanajisifia wana bilion au trilion ngapi we unajisifia mwili na mimacho mh ngoja nikuingie kwenye mwili wako uone unavyopukutika ubaki kama kijiti mi ndo virus bwana wee undelea kushobokewa tu ........ ha ha ha ha maoni 2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…