[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dear jomoneee wahuni wengine wananunua wao mbna.[emoji1787] au muhuni anajua set ya cosrx snail woiii ebu watuache tunatunza uso zetu kwa gharama sana tuepukane na makunyazi mashangazi sisi
Hapo sasa, mbna bora muhuni wallahhaya vipi kuhusu viben10 vinyonya lips??[emoji23] mbona vinawezeshwa sana na mashangazi...
hao maben10 si ndo wahuni wenyewe wanajiuza kwa mishangaziHapo sasa, mbna bora muhuni wallah
Kumbe hata hujui, wadada wa vyuo kwa ma sponsor wanafata hela tyuuh, ila mapenzi yako kwa masela na wahuniii.Tembelea maeneo ya vyuoni huko kwenye warembo wengi uone kama hao wahuni wana nafasi ya kupendwa mpaka semister inaisha hutojua dem anatoka na nani mana huwa wanachukuliwa na Ndinga tu za maboss hutowajua
Wahuni ni tofauti na vibenten au marioos, msiwachanganye, wahuni wanaozungumziwa hapa ni hustler?hao maben10 si ndo wahuni wenyewe wanajiuza kwa mishangazi
sijakuelewa hapawahuni wanaozungumziwa hapa ni hustler?
Wanao zungumziwa hapa ni wahuni wanao jiwezaa, sio hao ving'asti.sijakuelewa hapa
Neno lako kidogo hapoMmmmmh
Acheni janja nanjaπ€£π€£π€£π€£π€
ππππ tumekaa paleWahuni wanatuita hata tukiondoka kina National Anthem
Wewe haujui uhuni unao ongelewa Hapa... Nadhani Focus yako ipo Kwa hawa masela Koko...Tembelea maeneo ya vyuoni huko kwenye warembo wengi uone kama hao wahuni wana nafasi ya kupendwa mpaka semister inaisha hutojua dem anatoka na nani mana huwa wanachukuliwa na Ndinga tu za maboss hutowajua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cna neno mie.Neno lako kidogo hapo
mambo cocastic[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cna neno mie.
Poaaahmambo cocastic
Hili ni ukweli mtupu , wahuni wanapendwa Kwa kuwa sio waoga na hawaendeshwi na mwanamke, wao wanaendesha maisha Yao tofauti na vijana wenye mipango, Hawa wanaona kuwa romantic na kutoa zawadi nyingi na kuruhusu mwanamke ashike usukani wa maisha yake ndo itamfanya mwanamke ampende ila pia kuna vijana wenye mipango na ni wahuni, mfano Diamond na Elon musk.Salaam Wakuu, your the weapons against the kingdom of darkness.
Kuna jambo nimeligundua wanawake hawa awe pisi kali, kawaida au mapepe aisee wanaowafaidi ni wanaume wale wahuni wahuni tena wasio na mbele wala nyuma wasio na mipango ya kimaisha tena unakuta wanaishi geto tu chumba kimoja mtu 8.
Sasa hawa ndiyo wanagonga sana dada zetu. Tofauti kabisa na vijana wenye mipango na malengo huwa mara nyingi wanawake wanawakataa mpaka ajazwe mimba na muhuni ndiyo anatafuta mtu makini.
Fatilieni naamini wapo humu wanalijua hili watatoa shuhuda zao.