[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inauma aiseeKabisa wanapenda wanaume wenye fujo fujo, mwanaume jasiri ambaye atamburuza, mwanaume atakaye cheat ili make up sex iwe tamu zaidi.
Lakini ukiwa mwanaume mpole sijui straight hawakutaki kabisa....utasikia wenyewe he is just too nice[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyo mr nice atatafutwa wakati ngoma inasoma 33+
Nakutazama tu πππNo wanayajua yote....siwez kuexplain ila kwanasisimua sana
Mzabzab wewe ni bonge la comedian aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe bad boi nae hawe na hela[emoji44][emoji44][emoji44]
Sasa kumbe bottom line ni hela tuu
Yeah wanawapenda masela maviKuna tafiti nilishawahi kusoma ila sikumbuki ni mwaka gani... Inaonyesha wanawake wazuri na wenye mvuto hupenda vijana wahuni au masela masela hvi
Wonderful thing is.. wahuni wenyewe tupo single huku mitaaniSalaam Wakuu, your the weapons against the kingdom of darkness.
Kuna jambo nimeligundua wanawake hawa awe pisi kali, kawaida au mapepe aisee wanaowafaidi ni wanaume wale wahuni wahuni tena wasio na mbele wala nyuma wasio na mipango ya kimaisha tena unakuta wanaishi geto tu chumba kimoja mtu 8.
Sasa hawa ndiyo wanagonga sana dada zetu. Tofauti kabisa na vijana wenye mipango na malengo huwa mara nyingi wanawake wanawakataa mpaka ajazwe mimba na muhuni ndiyo anatafuta mtu makini.
Fatilieni naamin wapo humu wanalijua hili watatoa shuhuda zao.
Viva mashangazi!wahuni wote motoniHuko mtaa wa kati tushaambiwa humu ndani tumejaa mashangazi.
Sasa mashangazi na wahuni wapi na wapi.
Mashangazi wetu wababa
To me muhuni ni big NO.Kwanza sitakagi mazoea nao kabisa yaΓ ni nahisigi Wana bisibisi na nyembe na visu vya kukunjua siwezi kusisimuliwa na muhuni,,,siwezii nawaogopa
Na sie ni watu π π πTo me muhuni ni big NO.Kwanza sitakagi mazoea nao kabisa yaΓ ni nahisigi Wana bisibisi na nyembe na visu vya kukunjua siwezi kusisimuliwa na muhuni,,,siwezii nawaogopa
Hapana kaeni mbali na Mimi aisee!Na sie ni watu π π π
Sie wahuni wa digital sio analogHapana kaeni mbali na Mimi aisee!
Muhuni ni muhuni tu...Sie wahuni wa digital sio analog
Usikazeee sanaaa shem ππMuhuni ni muhuni tu...
Kiukweli inatokea tu accidentally ila mie napenda fine fine boys mtu anayejielewa
Shemeji mi napambana na wazee wenzanguUsikazeee sanaaa shem ππ
Umeona wapi magari mabovu yanavutana?Shemeji mi napambana na wazee wenzangu
π π π wazee wanaweza kazi kweli auShemeji mi napambana na wazee wenzangu