Wanawake wanawapenda wanaume wahuni

Koo unakuta mh anakula demu anakula na bwana wa demu,,,hatari sana
 
Ha Hahahah sikuhizi hakuna cha real wala sijui kuwa serious.

Ishu ni penenge tu, unaweza kuwa real fukara ukawa unachekechwa na kila pisi tu. Labda ukawe real kwa wauza matunda na mboga za majani 🤣🤣🤣. Hela ukiwa nazo maisha ni lami tu kudadadeki.
 
nyie nice guys hamuiwezi mikito
 
Chai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…