Muhuni ni muhuni tu anaweza asivute bange Ila anakuwa na vitabia vya ajabuajabu....umetoka nae out utashangaa tu kavua shati ghafla anapigana wakati ni Jambo tu linazungumzikaTuko Advanced zaidi, hatuvuti bange wala sigara ila uhuni upo integrated! π
Hii ni kweli. Kuna mstari mwembamba sana kati ya uhuni na upumbavuanapigana wakati ni Jambo tu linazungumzika
Umeona eeeh?Wana viubabe vya kijingajinga,,,angalia hao wadada wanatembea na wahuni,Kila siku wanafumuliwa za uso!mi naweza wapi hayoHii ni kweli. Kuna mstari mwembamba sana kati ya uhuni na upumbavu
lakini sasa wanawake si mnapenda ile aggression πUmeona eeeh?Wana viubabe vya kijingajinga,,,angalia hao wadada wanatembea na wahuni,Kila siku wanafumuliwa za uso!mi naweza wapi hayo
π€£π€£π€£π€£π€Ulikua unatuchora tuwe tunapiga cockroach death kumbe mnatuona ma nice guys.
Hii thread ya maselaπMashangazi tujuane hii thread haituhusu
vitendo vyenu vinawaumbua wengi mnapenda wakaka waliokatia na wenye midevudevu mnasema 'rough and gruff' π na faragha mnapenda shughuli iwe na amshamsha kidogo.....nakataa hiyo kauli yako
Wajomba Wana chember yao special kwenye mioyo ya mashangaziπ€Mashangazi wetu wajomba
Special sanaWajomba Wana chember yao special kwenye mioyo ya mashangaziπ€
Hayo ni Mambo ya 1 8-26 we,we mdada una 30s and above unarandaranda na muhuni ili ugundue Nini?Yaani mkae geto anavingirisha bange ndio unasikia Raha au?Doooh muhuni apite kulevitendo vyenu vinawaumbua wengi mnapenda wakaka waliokatia na wenye midevudevu mnasema 'rough and gruff' π na faragha mnapenda shughuli iwe na amshamsha kidogo.....
Naungana na wewe my wangu πππ
[emoji1787] au muhuni anajua set ya cosrx snail woiii ebu watuache tunatunza uso zetu kwa gharama sana tuepukane na makunyazi mashangazi sisi
[emoji1787] kwahiyo tuondoke haituhusuHii thread ya masela[emoji23]
[emoji1787][emoji1787]Naungana na wewe my wangu [emoji3][emoji3][emoji3]
Kwanza anajua wix ni nini [emoji3][emoji3]
Mzee napaka verdure 165k naitoa kwa uchungu na machozi famasihara nini
Wahuni wanatuita hata tukiondoka kina National Anthem[emoji1787] kwahiyo tuondoke haituhusu
haya vipi kuhusu viben10 vinyonya lips??π mbona vinawezeshwa sana na mashangazi...Hayo ni Mambo ya 1 8-26 we,we mdada una 30s and above unarandaranda na muhuni ili ugundue Nini?Yaani mkae geto anavingirisha bange ndio unasikia Raha au?Doooh muhuni apite kule
Hata muhuni ni mtu Dr. Jackal..Ni vischana vya miaka Kati ya 18---25 hapo.
Yaan Agonge 30, alafu bado afurahie muhuni anayekaa geto na Wana?
π€£π€£π€£Wasilete mchezo antiwrinkles Bei zake sio poa[emoji1787] au muhuni anajua set ya cosrx snail woiii ebu watuache tunatunza uso zetu kwa gharama sana tuepukane na makunyazi mashangazi sisi