Wanawake washaurini(kuwasaidia) binti zenu kutafuta mume kuanzia wakiwa miaka 17-25

Wanawake washaurini(kuwasaidia) binti zenu kutafuta mume kuanzia wakiwa miaka 17-25

Nimemuelewa sana mshikaji Ila tatizo lipo kwenye uhalisia wa Mambo hasa kwa apande zote mbili

Mfano kitu kinaitwa uvumilivu

Mkuu kwa Rika la vijana wengi 18 - 25 au mpaka 29 wengi hawajajipanga na kuweza kumudu mahitaji ya familia na jamii
Hapa uvumilivu unahitajika kwa upande wa kike

Kwa age ya 18 - 25 hapa mwanamke huhitaji kuonekana ni mrembo na huhitaji kuenda na fashion ya dunia

Mkuu nakuuliza swali kabla sijaendelea
Ni Mara ngapi umesikia kuhusu wanawake wa Sasa kuiweka pesa mbele kuliko future za familia zao

Utasikia Hana hela wa Nini mimi

Mchumba anataka kusuka,kuvaa, outing, na baadhi ya vitu ili kuendana na utamaduni wa jamii ya Sasa

Ukizingatia jamaa ni jobless

Mi nashauri vijana wajiimarishe kiuchumi ili kuweza kumudu familia zao sikuizi wanamke wanaolewa kupunguza ukali wa jua kuwawakia
Sijakataa na ndio hao wanaoangukia pabaya.
Ishu binti anaatakiwa afundishqe namna ya kukomaa na mmewe mpaka watoboe wakiwa pamoja na sio kupenda kukutana na mtu tayari vimeshaiva
 
Safi sana! Sambamba na kuruhusu wajawazito kuendelea na masomo pia waruhusiwe kuolewa kabisa.
Yaani binti wa O-level awe anatoka nyumbani kwa mumewe kwenda shule na kurudi.
Miaka 15 anafaa kuolewa.

Stay Taliban.
Mkuu testsr:uko talibanil.ya buza nini
 
Haya mambo huwa n marahs kuyaongea kma ww s muhuska, utamu wa ngoma n kuingia na uanze kucheza.

Wote tnapenda kwenda na muda, hakuna apendaye kupoteza muda lkn kuna mambo huwa nje ya uwezo wetu.

Yote kwa yote nmekuelewa..........
SAHII kabisa [emoji4][emoji106]
 
Mwanamke wa miaka 18-24 ukimuoa unajitaftia mabalaa tu! Labda ukaolee Muheza huko kijiji cha Amani, ila sio hawa mapaka wa mjini ambao wanasomea IFM ama UDSM ambao wanazurura kwenye ma Bar na ma Club kila weekend untanyooshwa!
Wife nmemuoa akiwa na 20yrs, sijutii[emoji4]
 
Kwa kweli aliyetayari kuolewa anitafute maana Niko tayari kuoa
 
Hakuna deadline ya kuolewa. Mwezi uliopita nimeshereheka na marafiki ndoa ya mmoja wetu akiwa na miaka 50.

Kwenye maisha kamwe usizingatie zaidi vitu Exceptional, utakwama!

Kila Jambo linamuda wake,
Kuna Muda wa kuolewa na kuoa, kutokana na majukumu ya ndoa.
 
Kwenye maisha kamwe usizingatie zaidi vitu Exceptional, utakwama!

Kila Jambo linamuda wake,
Kuna Muda wa kuolewa na kuoa, kutokana na majukumu ya ndoa.
Hapana. Huo ni mtazamo wako, huwenda kila mtu akawa na mtazamo tofauti kutokana na jamii tulizokulia . Binafsi kwa jamii niliyokulia ndoa hua nikuamzia miaka 40kwa jinsia zote.
 
Kuna mlevi aliskika akisema

Tunahitaji wanawake walio na akili, sio wanawake walioenda shule
 
Hapana. Huo ni mtazamo wako, huwenda kila mtu akawa na mtazamo tofauti kutokana na jamii tulizokulia . Binafsi kwa jamii niliyokulia ndoa hua nikuamzia miaka 40kwa jinsia zote.

Yaani wanawake huko kwenu wanaolewa 40+ 😂 embu tafuta namna ya kuweka uongo wako vizuri.

Tofautisha mtazamo wa mtu au jamii na uhalisia,
Miaka 40 mwanamke ameshakuwa Mzee, au unazungumzia ndoa ya pili au ya NNE?

Unafikiri 40 mchezo Wewe.
Hiyo 40 tuu wanawake wengi mimba zinapaa alafu mtu ndio aoe au kuolewa umri huo.

Haya niambie ni wapi huko kwenu ili tumalize hili,
 
Yaani wanawake huko kwenu wanaolewa 40+ 😂 embu tafuta namna ya kuweka uongo wako vizuri.

Tofautisha mtazamo wa mtu au jamii na uhalisia,
Miaka 40 mwanamke ameshakuwa Mzee, au unazungumzia ndoa ya pili au ya NNE?

Unafikiri 40 mchezo Wewe.
Hiyo 40 tuu wanawake wengi mimba zinapaa alafu mtu ndio aoe au kuolewa umri huo.

Haya niambie ni wapi huko kwenu ili tumalize hili,
Bahati mbaya sana siwezi kuendelea kukujuza kwasababu hauna imani na maneno yangu. Ila ndoa huku nilipo ni last priority.
 
Bahati mbaya sana siwezi kuendelea kukujuza kwasababu hauna imani na maneno yangu. Ila ndoa huku nilipo ni last priority.

Mimi sio Wale watu wakuendekeza Imani mbele kuliko AKILI.
Ndio maana nikakuambia nitajie hiyo sehemu hata Kama ni kuzimu tuijue, Kwa faida ya watu wengi hapa.

Kutokutaja kuna maanisha ulichosema ni mtazamo wako WA uongo.

Kama ni ukanda wa Pwani ndio Kabisa wengi wanaolewa hata kabla ya miaka 22. Tena ninyi Waislam ni nadra Sana mwanamke kufikisha miaka 25 bila ya kuolewa Kwa hapa nchini.

Sasa nitajie hiyo sehemu ili kutetea maneno yako.
 
Mimi sio Wale watu wakuendekeza Imani mbele kuliko AKILI.
Ndio maana nikakuambia nitajie hiyo sehemu hata Kama ni kuzimu tuijue, Kwa faida ya watu wengi hapa.

Kutokutaja kuna maanisha ulichosema ni mtazamo wako WA uongo.

Kama ni ukanda wa Pwani ndio Kabisa wengi wanaolewa hata kabla ya miaka 22. Tena ninyi Waislam ni nadra Sana mwanamke kufikisha miaka 25 bila ya kuolewa Kwa hapa nchini.

Sasa nitajie hiyo sehemu ili kutetea maneno yako.
Kuongea ni mali ya mdomo. Ukiwa muongeaji sana kuna vitu vingi sana utavikosa. Anyway kaa na unachokiamini, sio vyema kubishana na huenda hakuna sababu mana hunilipi.
 
Hujafikiria je watoto watakaozaliwa watafurahia kumuona Baba Yao akiwa Kama Babu Yao. Mtoto anamiaka 12 Baba anamiaka 63, je mtoto wako atakuwa na furaha.
Tafuta hela wewe. Mzee Reginald Mengi amezaa na Ntiywbaliwe akiwa miaka 64. Mapumziko yao wakawa wanayafanya visiwa vya Hawaii, Dubai na Kwingineko.

Wakawa wanafurahia kweli kweli.
 
Back
Top Bottom