Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijakuelewa mkuu, inatakiwa uoe under 18 au?Mwanamke wa miaka 18-24 ukimuoa unajitaftia mabalaa tu! Labda ukaolee Muheza huko kijiji cha Amani, ila sio hawa mapaka wa mjini ambao wanasomea IFM ama UDSM ambao wanazurura kwenye ma Bar na ma Club kila weekend untanyooshwa!
Maneno yenye hekima kubwa sana na wenye masikio wasikie maneno haya toka kwa Taikoni wa Fasihi[emoji848]...Ramadhan Kareem!
Dada zangu, wadogo zangu wakike, pamoja na kina Mama, elimu hii ni muhimu Sana.
Dunia ya sasa imefikia pagumu Sana, hasa kwenye kipengele cha ndoa.
Kwa hiyo wewe unapinga swala la ndoa, unataka waoto wazaliwe nje ya ndoa na kulelewa nje ya familia? au nyinyi ndo wale ma single mother.....au wale wanaoamini mtoto unaweza kwenda kumnunua au kutengenezewa maabara.Mila za Afrika za kuaminisha watoto, hasa wa kike, kwamba kuolewa ndio kitu cha muhimu kuliko vyote katika maisha yake ni za kipuuzi.
Ndugu mliofanikiwa kupata mwanga wa elimu, ukiwemo wewe mtoa mada, msaidie kupiga vita imani hii ya kishenzi, na sio kuipigia chapuo.
Na hiki ndo mtoa mada anajaribu kutahadharisha, binti anapopindukia miaka 25 uwezo wake wa kupata ujauzito unaanza kupungua na akija kuolewa ndo purukushani za kusaka mtoto zinaanza.........na huenda kipindi cha nyuma haikuwa tatizo sana lakini kufuatana na mabadiliko ya vinasaba na kimaumbile na mfumo mzima wa maisha hasa kwenye aina ya vyakula inapelekea tatizo kuwa kubwa.Ila naona mambo yako tofauti na zamani naona miaka18 ya enzi zile ni saw na 22 ya sasa Kwa kweli wapo wanawake wengi juu ya 25 hawana watoto na wanaoforce huzalia nyumbani
Mwanamke wa miaka 18-24 ukimuoa unajitaftia mabalaa tu! Labda ukaolee Muheza huko kijiji cha Amani, ila sio hawa mapaka wa mjini ambao wanasomea IFM ama UDSM ambao wanazurura kwenye ma Bar na ma Club kila weekend untanyooshwa!
😀😀😀😀
Wanawake wanatabia ya kuangalia wanaume wa kuwanyoosha
Mila za Afrika za kuaminisha watoto, hasa wa kike, kwamba kuolewa ndio kitu cha muhimu kuliko vyote katika maisha yake ni za kipuuzi.
Ndugu mliofanikiwa kupata mwanga wa elimu, ukiwemo wewe mtoa mada, msaidie kupiga vita imani hii ya kishenzi, na sio kuipigia chapuo.
Sijakuelewa mkuu, inatakiwa uoe under 18 au?
Hahahahah usiombe uwe ndio bwege mtozeni
Vilevie jiandae kwa struggle za mimba kupaa.......Oa mwanamke mwenye umri wa atleast 25 yrs mpaka 29 hapo!
Hamna namna kama ipo ipo tuVilevie jiandae kwa struggle za mimba kupaa.......
hahahahahSahihi ila ukavumilie kilasiku ikifika muda wa kukapelekea moto kanapoanza kulia ati nimemkumbuka mama..
Yaani hujapata ujumbe bado mkuu. Akili ni zaidi ya komputa. Una feed data nyingi Sana yenyewe inatoka na jibu moja tu as a information.Unapromote Nini mkuu
Behind the scenes
Hilo la mwanadamu kuwa tofauti na mnyama, tuliache kwanza, kisha twende taratibu;Sasa bila ndoa unafikiri Mwanadamu anatofauti ipi na mnyama?
Kinachomfanya mwanamke aendelee kuwa wathamani ni uwepo wake ndani ya ndoa,
Hii itamfanya alindwe, aonewe wivu, achungwe, ajaliwe, athaminiwe, aogopwe, ajivunie n.k.
Mambo hayo wanawake ndio huyapenda.
Labda tujidanganye lakini nature siku zote haiongopi.
Ndoa Kwa mwanamke ni muhimu Sana nao wanalijua Hilo.
At least wewe umeongea point, nimekuwa muungaji mkono sana wa mada za huyu jamaa juu ya haya mambo, ila sasa naanza kushtuka. Inawezekana jamaa anawachukia wanawake.Oa mwanamke mwenye umri wa atleast 25 yrs mpaka 29 hapo!
Ndugu zangu, muwe mnajitahidi basi kusoma kilichoandikwa.Kwa hiyo wewe unapinga swala la ndoa, unataka waoto wazaliwe nje ya ndoa na kulelewa nje ya familia? au nyinyi ndo wale ma single mother.....au wale wanaoamini mtoto unaweza kwenda kumnunua au kutengenezewa maabara.
Nimemuelewa sana mshikaji Ila tatizo lipo kwenye uhalisia wa Mambo hasa kwa apande zote mbiliYaani hujapata ujumbe bado mkuu. Akili ni zaidi ya komputa. Una feed data nyingi Sana yenyewe inatoka na jibu moja tu as a information.
Ishu ni kuwa mabinti watafute wenzao kabla umri haujaenda na sio kukimbia na wazee kisa Cha kuwapa mahitaji