Wanawake washaurini(kuwasaidia) binti zenu kutafuta mume kuanzia wakiwa miaka 17-25

Wanawake washaurini(kuwasaidia) binti zenu kutafuta mume kuanzia wakiwa miaka 17-25

At least wewe umeongea point, nimekuwa muungaji mkono sana wa mada za huyu jamaa juu ya haya mambo, ila sasa naanza kushtuka. Inawezekana jamaa anawachukia wanawake.

Kusema kwamba ndoa ndio jambo la maana kuliko yote katika maisha ya mwanamke, ni kupigia debe unyanyasaji, utumwa, ukatili na mateso wanapitia wanawake kisa tu kulinda ndoa, maana jamii imemuaminisha kuwa ndio kitu cha thamani kuliko chochote.

Ni kusababisha wanawake wanaojiweza, wasomi, wenye nyadhifa na mchango katika jamii wajione hawana maana yeyote, kama hawajaolewa. Hii ni imani ya kikatili, yenye lengo la kutweza na kudhalilisha utu wa mwanamke.

Waungwana wote tunatakiwa kupiga vita imani hii ya kishenzi. Cc Nyumisi
Mbona kama unateseka mkuu....kwani heriel kakosea wapi ye katoa angalizo na ni kwa upendo....ila wewe kwa kua jiwe limeshatupwa na gizani limeangukia kichwani hAkuna nmna
 
Labda Kwa aliyedumaa akili.

Mtu anachukua nchi anamiaka 22, Kama Rais au Mfalme wewe unazungumzia miaka 25 hajakomaa
Swali, miaka 25 anaweza kuwa na marafiki wa kutosha kukusanya michango na kufanya harusi? Bilashaka hawezi, miaka 25 akiwa chini ya wazazi ni sawa.
 
At least wewe umeongea point, nimekuwa muungaji mkono sana wa mada za huyu jamaa juu ya haya mambo, ila sasa naanza kushtuka. Inawezekana jamaa anawachukia wanawake.

Kusema kwamba ndoa ndio jambo la maana kuliko yote katika maisha ya mwanamke, ni kupigia debe unyanyasaji, utumwa, ukatili na mateso wanapitia wanawake kisa tu kulinda ndoa, maana jamii imemuaminisha kuwa ndio kitu cha thamani kuliko chochote.

Ni kusababisha wanawake wanaojiweza, wasomi, wenye nyadhifa na mchango katika jamii wajione hawana maana yeyote, kama hawajaolewa. Hii ni imani ya kikatili, yenye lengo la kutweza na kudhalilisha utu wa mwanamke.

Waungwana wote tunatakiwa kupiga vita imani hii ya kishenzi. Cc Nyumisi
Maajabu sasa!. Unaweza kudhani ni jamii ndio inawaaminisha wanawake kwamba bila ndoa hawana thamani kumbe wanawake wenyewe ndio wanajiaminisha hivyo. Hata hivyo hakuna mbadala wa NDOA kama mtu umedhamiria kuishi Kwa uadilifu Kwa kuepuka uzinzi.
 
Tafuta hela wewe. Mzee Reginald Mengi amezaa na Ntiywbaliwe akiwa miaka 64. Mapumziko yao wakawa wanayafanya visiwa vya Hawaii, Dubai na Kwingineko.

Wakawa wanafurahia kweli kweli.
Ndugu nimeona na wewe umekuja na mada kama hii, ilikuaje hapa ulionekana kama unapingana na ukweli?

 
Labda Kwa aliyedumaa akili.

Mtu anachukua nchi anamiaka 22, Kama Rais au Mfalme wewe unazungumzia miaka 25 hajakomaa
100% by late 20s lazima uwe unajua dira ya maisha yako kila kitu na una familia tayari, manungaembe tu wanaopinga!

Sijisifii ila by 23 nilikua nishaanza kujenga na usafir nnao, ndoa 24.. am a young daddy of 2 getting it, no excuse!
 
Swali, miaka 25 anaweza kuwa na marafiki wa kutosha kukusanya michango na kufanya harusi? Bilashaka hawezi, miaka 25 akiwa chini ya wazazi ni sawa.
Badilisha huu mtizamo mkuu kama una watoto unatengeneza bomu la hatari, mwanao akibalehe tu anza kum treat kama mtu mzima akifika early 20s akupishe nyumban akapange ata ka getto ka elf 20 haswaa akiwa wa kiume wakike no pressure kuhama home!

labda kama na wewe 25+ bado uko nyumban unajitetea kiania.

Nb: tuache mazoea harusi sio mpaka michango na masherehe makubwaa its more spiritual!
 
Badilisha huu mtizamo mkuu kama una watoto unatengeneza bomu la hatari, mwanao akibalehe tu anza kum treat kama mtu mzima akifika early 20s akupishe nyumban akapange ata ka getto ka elf 20 hawsaa akiwa wa kiume wakike no pressure kuhama home!

labda kama na wewe 25+ bado uko nyumban unajitetea kiania.

Nb: tuache mazoea harusi sio mpaka michango na masherehe makubwaa its more spiritual!
At 25yrs ajira bado hata kama amepata ajira kipato bado ni kidogo sana.
 
Hakuna deadline ya kuolewa. Mwezi uliopita nimeshereheka na marafiki ndoa ya mmoja wetu akiwa na miaka 50.
Huyu anaenda kwenye ndoa kufanya nn wakati hata ngono hawezi kufanya na uzazi ulikoma miaka 10 iliyopita?
 
At 25yrs ajira bado hata kama amepata ajira kipato bado ni kidogo sana.
Kweli mkuu, na ajira zenyewe za manati hizi ila walau bas asiwe wa kushinda home tuuu siku nzima unapishana na baba bafuni wote mmevaa taulo. Yan atleast awe mishen town apambane sio kubweteka tu.
 
Back
Top Bottom