Wanawake washauriwa na mchungaji Christina shusho kuzaa watoto wachache na kupanga uzazi binafsi bila kumshirikisha mwanaume

Wanawake washauriwa na mchungaji Christina shusho kuzaa watoto wachache na kupanga uzazi binafsi bila kumshirikisha mwanaume

Amlodipine500

Senior Member
Joined
Jun 24, 2024
Posts
109
Reaction score
175
Ameshauri wawe wajanja kuzaa kuijaza dunia Mungu hakumaanisha Kuwa na watoto wengi Bali kufanya vitu vingi..pia amedai alikataa Dola za kimarekani elfu 20 kutoka Kwa kigogo alietaka kulala nae..hivi ndo anatangaza dau lake kijanja au anajisafisha mbele ya jamii Ione Kuwa Huwa hadangi
 

Attachments

  • ARMEE_DU_SEIGNEUR_CULTE_DE_MAMANS_DE_LA_VILLE_DE_BUNIA_Avec_la_Pasteur_CHRISTINA_SHUSHO_SUITE(...mp4
    85.2 MB
Hivi chachi analo fundisha hili shangazi liko pande zipa apa bongo?

Litakuwa lina mashangazi wengi sana.
 
Huyo ni malaya flani hivi mmoja anapaswa kuupuzwa tuu
 
Huyu nae anawaumini?
Wengi tu mbona watu wanamalengo Yao hujui ukikaa karibu na uwa ridi utanukia wengi vijana hasa wa praise team Wana ndoto za kutoka kimuziki kwahiyo wanatafuta bahati Yao wanaona labda atawasaidia
 
Back
Top Bottom