Aisee basi njoo nikuwoweMi ni wife matirio haki a mama....😔😔😔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee basi njoo nikuwoweMi ni wife matirio haki a mama....😔😔😔
Kwa nini besty🤣🤣🤣🤣 Umekaa kiloz sana😏
Hutaki Watu waoleweKwa nini besty
Nakuja na mabegi yangu diaAisee basi njoo nikuwowe
Ajakata kamba huyo ngoja afundishwe na makungwi wa mji.Bora kuruka na manungaembe haya haya ya town kuliko kuimport bush wengi wamejuta.Ndio shida hiko hapo. Mimi niliwashirikisha wazee wakanitafutia katoto ka kinyantuzu keupe naona sio haba ukilinganisha na watoto wengine hawa wa mjini waliosoma.
Hahaha mie nataka sana muolewe ila wala wanawake wanaojitambuaHutaki Watu waolewe
Unapokelewa na de libolo kabisaaaNakuja na mabegi yangu dia
Nimekuelewa sana, basi yule tulikua tunazini nae miaka yote hiyo alivyoanza kubadilika nikamuacha na kumfata mwingine lakini lawama kila siku ya kwamba nimemuacha lakini anashindwa kuelewa why nimemuacha?Kwanza kabisa hakuna uchumba wa miaka 6 na kama upo nyie ni wazinzi
Jua kwanza dhana ya uchumba usiite mtu mchumba ako na hujatoa posa wala mahari
Huyo ni mpenzi tu mtazamaji kama wengine… fata proces zote za uchumba kisha useme una mchumba na sio msebule
Uchumba mfupi sana ni miezi 3 wa wastani miezi 6 na mrefu zaidi ni mwaka mmoja tena kuwe na sababu maalumu…
Wanawake tumekubaliana ukizidi mwaka mmoja hakuna ndoa tunaamia kwa aliye tayari
Ni kweli sikupingi siku hizi huwezi kukuta mdada ana mwanaume mmoja hakuna kama ilivo kwenu wakaka hamuwezi kuwa na mmoja na wadada wamezinduka wanawapanga kama foleni japo sio wote
Sababu ni moja wanaume hamueleweki unaweza kumgandisha dada wa watu na usimuoe kama hivyo ulivosema unakaa na mtu miaka 6 alafu unakuja kuoa mwingine….
Sasa lazima kuwe na akiba tukiona huelewekii tunaamia kwingine
Kwanza uwe peke ako wewe baba ake [emoji1787][emoji1787][emoji1787](jokes)
Ila backup ni lazima kwa konkodi wa mapenzi na mnabalanciwa vizuri tu
Ajabu unasema watu hawaoi wakati harusi zimejaa mitaani kila siku uwe unapitiapitia page za kusherehesha haswa kwa Garab kila weekend mtu anaoa mwingine anaolewa
Umebakii wewe na wenzio msiotaka kuoa
Unajisaliti.... Tulia uone December rfk zako wanavyokuja na card za harusi za kushatoBandungu nimeona wanaume wengi ni wanafiki. Kwenye vikao vyetu tunakubaliana tuwagegede na no kuoa lakini mtaani mambo ni tofauti kabisaaa
Nimekuelewa sana, basi yule tulikua tunazini nae miaka yote hiyo alivyoanza kubadilika nikamuacha na kumfata mwingine lakini lawama kila siku ya kwamba nimemuacha lakini anashindwa kuelewa why nimemuacha?
hakuna cha usukumani wala wapi,yupo jilani hapa kamkimbia mke wake na kumwachia nyumba hana hamu na huko unapopasema bariadi..hilo swala ni kama kubeti.Nilifungua channel ya Arise and shine Mwamposa alisema ambao wanatafuta mchumba wasimame walikua wengi sanaa.
Nikawa nawaza kwanini sasahivi kundi kubwa la wanaume hawataki kuoa? Na kwanini wanawake wanalalamika hawaolewi na vijana nao wanatafuta mabinti wa kuoa na hawapati?
Kuna vitu nimeona na nimegundua mosi, wanawake sio waaminifu kabisa anaweza kua na wanaume 5 anategeshea yupi atakae muoa kwanza, na bahati mbaya hata yule alie serious anagundua michezo ya huyu binti then kinachofuata ni vilio tu na kulalamika kuachwa (hawaangalii tatizo lao la kutokua muaminifu).
Kutokusikia/kukosa utii.
Kwenye uchumba hata kama mmekaa miaka 6 usiponyesha utii na kutokusikia utaachwa tu, then wakishaachwa wanalalamika na kwenda kwa mganga kuroga mwanaume lakini yeye tatizo lake halioni.
Vijana mkitaka kuoa hakikisha umeoa binti ambae amemaliza kila kitu kwenye maisha yake, ukiona mwanamke haeleweki muache maana silaha yao kubwa hiko kwenye machozi.
Binafsi naona hakuna mwanaume anaeweza kumuacha mwanamke ambae ni msikivu na ametulia.
Niko na binti mmoja wa kinyantuzu wa bariadi naona future hiko nzuri tupo nae mwaka wa pili sasa. Vijanà ukitaka kuoa mwanamke wa kudumu sogea usukumani hapo na amini hutosumbuliwa na hawa wanawake wenye mambo mingi na ujuaji kibao na bahati mbaya wakiachwa hawajui na kutambua makosa yao kazi kulalamika na kuturoga.
Umeongea ukweli. Lakini Mimi nilikua nae kama rafiki since anasoma nilikua advance yeye o-level hata age yake ni 23...nimemjua tokea yuko form one. bado ni mdogo nimeamua kumuacha mapema ili apate mda mwingi wa kuanzisha mahusiano yaliyo sahii.Unajua wanaume hamna mnachopoteza hata mkae kwenye mahusiano miaka 10 utaamka jmosi utaoa… issue inakuja upande wa Ke sisi tunaenda na wakati yaani ukipita ule wakati ambao tulikuwa tunavumaa yaani waoajii ni wengii basi habari yetu kwishaa
Hapo sasa unakuta waoajii wanapungua ubaya utakuta umeishi na huyo dada tangu akiwa na miaka labdaa
23 +6=29 sasa range mbaya sana hiyo unamuacha dada wa watu akiwa mzee mmmh ukirogwa atakuwa kakukosea kweli???
Nilifungua channel ya Arise and shine Mwamposa alisema ambao wanatafuta mchumba wasimame walikua wengi sanaa.
Nikawa nawaza kwanini sasahivi kundi kubwa la wanaume hawataki kuoa? Na kwanini wanawake wanalalamika hawaolewi na vijana nao wanatafuta mabinti wa kuoa na hawapati?
Kuna vitu nimeona na nimegundua mosi, wanawake sio waaminifu kabisa anaweza kua na wanaume 5 anategeshea yupi atakae muoa kwanza, na bahati mbaya hata yule alie serious anagundua michezo ya huyu binti then kinachofuata ni vilio tu na kulalamika kuachwa (hawaangalii tatizo lao la kutokua muaminifu).
Kutokusikia/kukosa utii.
Kwenye uchumba hata kama mmekaa miaka 6 usiponyesha utii na kutokusikia utaachwa tu, then wakishaachwa wanalalamika na kwenda kwa mganga kuroga mwanaume lakini yeye tatizo lake halioni.
Vijana mkitaka kuoa hakikisha umeoa binti ambae amemaliza kila kitu kwenye maisha yake, ukiona mwanamke haeleweki muache maana silaha yao kubwa hiko kwenye machozi.
Binafsi naona hakuna mwanaume anaeweza kumuacha mwanamke ambae ni msikivu na ametulia.
Niko na binti mmoja wa kinyantuzu wa bariadi naona future hiko nzuri tupo nae mwaka wa pili sasa. Vijanà ukitaka kuoa mwanamke wa kudumu sogea usukumani hapo na amini hutosumbuliwa na hawa wanawake wenye mambo mingi na ujuaji kibao na bahati mbaya wakiachwa hawajui na kutambua makosa yao kazi kulalamika na kuturoga.
Mara mseme nyie super woman u dnt need a man mara mnataka ndoa sasa unashindwa elewa wat do u want?Unajua wanaume hamna mnachopoteza hata mkae kwenye mahusiano miaka 10 utaamka jmosi utaoa… issue inakuja upande wa Ke sisi tunaenda na wakati yaani ukipita ule wakati ambao tulikuwa tunavumaa yaani waoajii ni wengii basi habari yetu kwishaa
Hapo sasa unakuta waoajii wanapungua ubaya utakuta umeishi na huyo dada tangu akiwa na miaka labdaa
23 +6=29 sasa range mbaya sana hiyo unamuacha dada wa watu akiwa mzee mmmh ukirogwa atakuwa kakukosea kweli???
Ila ukija kumzingua mkuu utajua Kama hujui nadhani Tena huyo mnyantuzu ndio kitovu Cha usukumani kilipoanzia.yaani usije kumzingua na huwa anafurahia machoni Ila moyoni Kuna maumivu makali mnosogea usukumani
Mie hata uchumba wa siku moja haukuwepo nimeenda kwao siku iyo Iyo na baba yake kuitwa mkuu. Yaani aliendana na ninavyopenda angezingua kidogo nisingekawia kumwaga mbogauchumba