Wanawake wasilalamike kuachwa, wajiangalie tabia zao

Wanawake wasilalamike kuachwa, wajiangalie tabia zao

Kaka hili Tangazo umelipia Tozo?
Niko na binti mmoja wa kinyantuzu wa bariadi naona future hiko nzuri tupo nae mwaka wa pili sasa. Vijanà ukitaka kuoa mwanamke wa kudumu sogea usukumani hapo na amini hutosumbuliwa na hawa wanawake wenye mambo mingi na ujuaji kibao na bahati mbaya wakiachwa hawajui na kutambua makosa yao kazi kulalamika na kuturoga.
 
Inauma sana unamgandisha mtu 6yrs then unakuja kuoa mwingine. Ukipigwa juju usilalamike.
Sababu ni moja wanaume hamueleweki unaweza kumgandisha dada wa watu na usimuoe kama hivyo ulivosema unakaa na mtu miaka 6 alafu unakuja kuoa mwingine….
Sasa lazima kuwe na akiba tukiona huelewekii tunaamia kwingine
 
Afadhali utusemee.
Ukiwa wife material unapigwa matukio mpaka unabadilika halafu wanakuja kulalamika eti wanawake hawajielewi kumbe mtu kashaathiriwa mpaka kabadilika
Hii nayo imesababishwa na wanaume kwa kweli.

Wanawaka tunaweza kuwafanya vile tunavyotaka. Vizuri au vibaya.
 
Bandungu nimeona wanaume wengi ni wanafiki. Kwenye vikao vyetu tunakubaliana tuwagegede na no kuoa lakini mtaani mambo ni tofauti kabisaaa
Hehehe wanawasaliti kila siku mitaani twasikia vigelegele tu
 
Bandungu nimeona wanaume wengi ni wanafiki. Kwenye vikao vyetu tunakubaliana tuwagegede na no kuoa lakini mtaani mambo ni tofauti kabisaaa
Tunagegeda mkuu ila tunaoa wakawaida mno no pisi Kali, wewe ndo umekiuka maelekezo ya kikao chetu .
 
Ata mie nimegundua hawa ndio yakiwakuta huko wanakuja kulia lia hapa jf.
Itabidi na mie nichungulie upande wa pili wanapewa nini cha ajabu mpaka kulamba asali hakutoshi wanaamua kuchonga mzinga kabisa
Tunachonga mzinga wa nyuki wakubwa ila tunalamba asali ya nyuki wadogo , nyuki wadogo ukichonga mzinga ukirina vibaya tu wanasepa bora ulambe asali tu bila kuchonga mznga, kwan ata nyumba yao ni ghali, bora ya nyuki wakubwa wao hawanaga noma[emoji847]
 
Nilifungua channel ya Arise and shine Mwamposa alisema ambao wanatafuta mchumba wasimame walikua wengi sanaa.

Nikawa nawaza kwanini sasahivi kundi kubwa la wanaume hawataki kuoa? Na kwanini wanawake wanalalamika hawaolewi na vijana nao wanatafuta mabinti wa kuoa na hawapati?

Kuna vitu nimeona na nimegundua mosi, wanawake sio waaminifu kabisa anaweza kua na wanaume 5 anategeshea yupi atakae muoa kwanza, na bahati mbaya hata yule alie serious anagundua michezo ya huyu binti then kinachofuata ni vilio tu na kulalamika kuachwa (hawaangalii tatizo lao la kutokua muaminifu).

Kutokusikia/kukosa utii.
Kwenye uchumba hata kama mmekaa miaka 6 usiponyesha utii na kutokusikia utaachwa tu, then wakishaachwa wanalalamika na kwenda kwa mganga kuroga mwanaume lakini yeye tatizo lake halioni.

Vijana mkitaka kuoa hakikisha umeoa binti ambae amemaliza kila kitu kwenye maisha yake, ukiona mwanamke haeleweki muache maana silaha yao kubwa hiko kwenye machozi.

Binafsi naona hakuna mwanaume anaeweza kumuacha mwanamke ambae ni msikivu na ametulia.

Niko na binti mmoja wa kinyantuzu wa bariadi naona future hiko nzuri tupo nae mwaka wa pili sasa. Vijanà ukitaka kuoa mwanamke wa kudumu sogea usukumani hapo na amini hutosumbuliwa na hawa wanawake wenye mambo mingi na ujuaji kibao na bahati mbaya wakiachwa hawajui na kutambua makosa yao kazi kulalamika na kuturoga.
Wanyantuzu huoana wao kwa wo tu. Kama ww si mnyantunzu kwa huyo binti jiandae kisaikolojia hasa ukisha lipa mahari
 
...kukaa na wanawake wa kidigitali ni mtihani sana. Wanaume wengi wanaogopa kuwaoa.

Ukioa unakuwa kama umemwoa mwanaharakati.
 
mi juzi nilienda mahali wakati ibada fulani wanawake wakiombewa wapate wa kuwaoa na yeye anasema et amina jamani nami ntampata,asee nilishangaa yaani yule dada kwa tabia zile nani anaweza kumuoa,
 
Back
Top Bottom