Niko na binti mmoja wa kinyantuzu wa bariadi naona future hiko nzuri tupo nae mwaka wa pili sasa. Vijanà ukitaka kuoa mwanamke wa kudumu sogea usukumani hapo na amini hutosumbuliwa na hawa wanawake wenye mambo mingi na ujuaji kibao na bahati mbaya wakiachwa hawajui na kutambua makosa yao kazi kulalamika na kuturoga.
Sababu ni moja wanaume hamueleweki unaweza kumgandisha dada wa watu na usimuoe kama hivyo ulivosema unakaa na mtu miaka 6 alafu unakuja kuoa mwingine….
Sasa lazima kuwe na akiba tukiona huelewekii tunaamia kwingine
Hii nayo imesababishwa na wanaume kwa kweli.Afadhali utusemee.
Ukiwa wife material unapigwa matukio mpaka unabadilika halafu wanakuja kulalamika eti wanawake hawajielewi kumbe mtu kashaathiriwa mpaka kabadilika
Hehehe wanawasaliti kila siku mitaani twasikia vigelegele tuBandungu nimeona wanaume wengi ni wanafiki. Kwenye vikao vyetu tunakubaliana tuwagegede na no kuoa lakini mtaani mambo ni tofauti kabisaaa
Tunagegeda mkuu ila tunaoa wakawaida mno no pisi Kali, wewe ndo umekiuka maelekezo ya kikao chetu .Bandungu nimeona wanaume wengi ni wanafiki. Kwenye vikao vyetu tunakubaliana tuwagegede na no kuoa lakini mtaani mambo ni tofauti kabisaaa
Tunachonga mzinga wa nyuki wakubwa ila tunalamba asali ya nyuki wadogo , nyuki wadogo ukichonga mzinga ukirina vibaya tu wanasepa bora ulambe asali tu bila kuchonga mznga, kwan ata nyumba yao ni ghali, bora ya nyuki wakubwa wao hawanaga noma[emoji847]Ata mie nimegundua hawa ndio yakiwakuta huko wanakuja kulia lia hapa jf.
Itabidi na mie nichungulie upande wa pili wanapewa nini cha ajabu mpaka kulamba asali hakutoshi wanaamua kuchonga mzinga kabisa
Wanyantuzu huoana wao kwa wo tu. Kama ww si mnyantunzu kwa huyo binti jiandae kisaikolojia hasa ukisha lipa mahariNilifungua channel ya Arise and shine Mwamposa alisema ambao wanatafuta mchumba wasimame walikua wengi sanaa.
Nikawa nawaza kwanini sasahivi kundi kubwa la wanaume hawataki kuoa? Na kwanini wanawake wanalalamika hawaolewi na vijana nao wanatafuta mabinti wa kuoa na hawapati?
Kuna vitu nimeona na nimegundua mosi, wanawake sio waaminifu kabisa anaweza kua na wanaume 5 anategeshea yupi atakae muoa kwanza, na bahati mbaya hata yule alie serious anagundua michezo ya huyu binti then kinachofuata ni vilio tu na kulalamika kuachwa (hawaangalii tatizo lao la kutokua muaminifu).
Kutokusikia/kukosa utii.
Kwenye uchumba hata kama mmekaa miaka 6 usiponyesha utii na kutokusikia utaachwa tu, then wakishaachwa wanalalamika na kwenda kwa mganga kuroga mwanaume lakini yeye tatizo lake halioni.
Vijana mkitaka kuoa hakikisha umeoa binti ambae amemaliza kila kitu kwenye maisha yake, ukiona mwanamke haeleweki muache maana silaha yao kubwa hiko kwenye machozi.
Binafsi naona hakuna mwanaume anaeweza kumuacha mwanamke ambae ni msikivu na ametulia.
Niko na binti mmoja wa kinyantuzu wa bariadi naona future hiko nzuri tupo nae mwaka wa pili sasa. Vijanà ukitaka kuoa mwanamke wa kudumu sogea usukumani hapo na amini hutosumbuliwa na hawa wanawake wenye mambo mingi na ujuaji kibao na bahati mbaya wakiachwa hawajui na kutambua makosa yao kazi kulalamika na kuturoga.
Kwa post zako humu jf nahisi wewe sio wife material kabisa, kwenye mahusiano ndio namba moja kwa kupiga wanaume na vitu vizito, jezebel personified Evelyn SaltWife materials tutafika mbinguni tumechoka 😁😁😁
Mi ni mwanamke mwenye sifa zote za kuwa mke, ukiniona tu lazma utataka kunioa hapohapo....hata mzabzab ni shahidiKwa post zako humu jf nahisi wewe sio wife material kabisa, kwenye mahusiano ndio namba moja kwa kupiga wanaume na vitu vizito, jezebel personified Evelyn Salt
Wacha weee.Mi ni mwanamke mwenye sifa zote za kuwa mke, ukiniona tu lazma utataka kunioa hapohapo....hata mzabzab ni shahidi
Acha kabisa tena wee nilivyokuona tuu nikasema huyu ni wa kuweka ndani. Maana tako lipo, matiti ndio usisema na kasura cute hatariMi ni mwanamke mwenye sifa zote za kuwa mke, ukiniona tu lazma utataka kunioa hapohapo....hata mzabzab ni shahidi
Hamna kitu kama hicho ndugu yangu, usituchafue [emoji1]Wanyantuzu huoana wao kwa wo tu. Kama ww si mnyantunzu kwa huyo binti jiandae kisaikolojia hasa ukisha lipa mahari
Wana viburi shetani hagusi, bila mijeledi atakudharau sana. Na ukishamlipia mahari kama si wa kwao kukuacha dakika 0. Yani wanafanya kama biasharaKwanini mkuu
Am talking from experienceHamna kitu kama hicho ndugu yangu, usituchafue [emoji1]
sio kila mwanamke ameumbiwa kuolewa, ndoa waachiege wengineBandungu nimeona wanaume wengi ni wanafiki. Kwenye vikao vyetu tunakubaliana tuwagegede na no kuoa lakini mtaani mambo ni tofauti kabisaaa