Bill gates na hela zake yamemshinda. Pesa sio solution kwa mke alie aribiwa mindset na mfumo wa elimu wa haki sawaUmemaliza mama/baba.
Ndo gender theories za sasa zinawakumbusha majukumu yao kama traditional men ili heshima iwepo.
Kufungwa kwa ndoa ni siku moja , kuishi ndoa ndio zinawashinda huoni rate ya kupeana taraka inavopanda hasa mijini kuliko jaa wasomi kila konaHizi ndoa za wasomi zinazofungwa kila siku huku mitaani ni za wanawake wa nchi gani?
Kufungwa kwa ndoa ni siku moja , kuishi ndoa ndio zinawashinda huoni rate ya kupeana taraka inavopanda hasa mijini kuliko jaa wasomi kila konaHizi ndoa za wasomi zinazofungwa kila siku huku mitaani ni za wanawake wa nchi gani?
Kuna vitu ukiwa mwanamke huwezi elewa, ni sawa uwe msituni afu uuone msitu tena, ni miti tu. Mwanamke ana nafasi yake ya kutii, hizo haki unazotaka ndio zinazo wapa divorceWanaume wa humu bhana mi sijawai ona mwanamke mfeminist sijawai ona,kinachofanya muone mwanamke sijui ni feminist ni matendo yako
Huezi mtenda vibaya akae kimya, tunaishi dunia ingine kabisa
Em jitahidini kwenda na wakati.
Watendeeni vema wanawake hayo mambo ya ufeminist hamtoyasikia
Pia naona ishu ya ufeminist ni swala la kimawazo au perception ya mtu but in reality its just how the WORLD WORK
Si mmesema hawaolewi lakini🤷🤷Kufungwa kwa ndoa ni siku moja , kuishi ndoa ndio zinawashinda huoni rate ya kupeana taraka inavopanda hasa mijini kuliko jaa wasomi kila kona
Uko sahihi ila Tabu zote za nini si uoe mwenye elimu ndogo tu kupunguza hio migogoroUsioe usomi wakee, usomi aweke nje akiingia ndani anakuwa mke, mambo ya familia amua mwanaume hakuna discussion ukiruhusu ruhusu discussion ndio utaleta majibizano na ubishi usio na maana, husika Moja kwe Moja kwenye huo usomi wake ajione pamoja na usomi wake kwako si kitu, usiulizie ulizie mshahara wake wakati huo timiza majukumu yako kama baba atakuwa na heshima kuwa kumbe usomi wake hauna msaada kwako. Lakini ukionyesha kuwa usomi wake una msaada kwako umempa fimbo ya kukuchapia
Kuolewa kuna faida gani kama ndoa inavunjika kata mwaka haijamaliza . Hayo majeraha ya ndoa yanaumiza kwa miaka mingiSi mmesema hawaolewi lakini🤷🤷
Si mmekosa akili za kuishi nao.Kuolewa kuna faida gani kama ndoa inavunjika kata mwaka haijamaliza . Hayo majeraha ya ndoa yanaumiza kwa miaka mingi
Kunguru hafugikiSi mmekosa akili za kuishi nao.
Hao sio kunguru ni binadamu. Ukishindwa kuishi nae jua huna akili.Kunguru hafugiki
Ukiwa kunguru unadhani binadamu wote unafanana nawe kumbe wapo tofautiHao sio kunguru ni binadamu. Ukishindwa kuishi nae jua huna akili.
Narudia tena, elimu ni ukombozi kokote, ila kwenye matumizi ya elimu ndo tunapopishana, inategemea unaitumiaje.Elimu Bora ndiyo ukombozi. Je hapa kwetu Kuna elimu Bora isiyowaharibu dada zetu?!