Mfano wewe binti yako asipofika elimu ya juu utajisikiaje? Kama hutaki hutaki kumsomesha unazalisha mambumbumbu.
Feminist haitokani na usomi ..inatokana na matunda ya usomi Nina maana gani?👇
Elimu zipo nyingi na binadamu anatumia akili kung'amua Yale aliyosoma sio kila kitu ukubali ni kwamba ukiambiwa "Binadamu wa kwanza ni nyani" ,ukija kushirikisha ubongo unajua hapa nimepigwa kabisa.
Nakuja👉 Tatizo sio elimu tatizo ni Feminist ambayo mtu anashindwa hata kujua maumbile yake ya asili yalivyo kwamba na mwanaume hawapo sasa ila wanatokea washamba fulani wanamwambia Tena akiona article zimeandikwa kingereza ndo basi anaweka kichwani bila ya kushirikisha ubongo.
Feminist kwa nn ni hatar na sio usomi.
👇👇
1.Feminist wanaona mamlaka ya mwaume ni waliopewa upendeleo angalia wanawake waliopo kweny mambo ya feminist wengi Wana tamaa za pesa na madaraka ili watawale ila unakuta asili yao haitaki ndo maana mpaka leo hapo Marekani hapajwahi kutokea raisi wa kike japo wanagombania sana.
2.Feminist wengi wameacha a na tamaduni za asili na kukimbilia uzungu,baada tu ya kujua kingereza wanajikuta wazungu tayar kamili ilihali ni weusi kama vumbi la mkaa ila hawajitambui..Dharau kibao.
3.Feminist hata swala la asili la kuzaa hawataki na tunapoenda kunyonyesha wataanza kuwaiga wazungu (wanatumia maziwa ya kopo ila matiti yao yasishuke) haya yote kutokana na tamaduni za nje..Hawataki kupitwa na jambo wawe sambamba na wanaume eti wakizaa wanazeeka mapema.
Feminist ni cultural imperialism na sio kusoma ,hautokuja sikia mambo hayo kule kwa Kim kiduku (Korea) wala Taliban maana wako strictly kupambania jamii zao zisingie huko mtego