Wanawake watulivu waungwana, wasio cheat wacha Mungu, mko wapi?

🤣🤣🤣 Nakutaka. Nataka kwanza uone hao wanaume wa hovyo huko ili utambue kuwa mie ndio special one😜
Alafu kiwanja vipi bbby hau hutaki tuwe na mjengo wetu na chumba chetu specially kwa mizangamuano
Mm nilijua unatania nitakupa updates nikumbushe j moc
 
Mm nilijua unatania nitakupa updates nikumbushe j moc
Uta i tena kwenye suala la kupata mke na kiwanja bby kweli....ebu kuwa serious hili jambo mwaka huu lazima liishe. Mwaka kesho binti natasha apatikane watu wale ubwabwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…