Wanawake watulivu waungwana, wasio cheat wacha Mungu, mko wapi?

Mungu alimuumba Adam kwa mfano wake.
Hivyo mwanaume ni muumbaji.
Kwa nini usiumbe wa kwako!!??

Mimi naamini mwanaume ukiamua kum "mold" mwanamke vile utakavyo, inawezekana kabisa kwa asilimia mia moja.

Tatizo la msingi ni kwetu wanaume kutokujua tunataka aina gani ya mwanamke ambaye atakuwa mke mwema.

Mwanamke yeyote anaweza kuwa vile unavyotaka wewe mwanaume as long as unaajua nini utakacho.

Cha mwisho ni kwamba ucha Mungu unaanza na wewe,then unaweza mtengeneza changudoa akabadilika na kuwa mcha Mungu mzuri sana.
Wako wapi wanawake wife material?
 
wewe ni mmoja wa wanawake waaminifu?
Mmmh jina lenyewe qashy=cash


Pita mbali mita miaaa πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸšΆπŸΌβ€βž‘οΈπŸšΆπŸΌβ€βž‘οΈπŸšΆπŸΌβ€βž‘οΈπŸšΆπŸΌβ€βž‘οΈπŸ˜ŠπŸƒπŸΌβ€βž‘οΈπŸƒπŸΌβ€βž‘οΈπŸƒπŸΌβ€βž‘οΈπŸƒπŸΌβ€βž‘οΈ
 
Nimecheka πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… β€œwife material” hana umri πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Mmmmh πŸƒπŸ»β€βž‘οΈπŸƒπŸ»β€βž‘οΈπŸƒπŸ»β€βž‘οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…