Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Ukishatumia tu huo upuuzi jiandae kuwa na bwawa la mtera, bibi kuwa wa baridi, kupoteza ashki za unyumba na hata ugumba wa miaka mingi au kutozaa tena.Ajabu Mie mume wangu hataki nitumie uzazi wa mpango wa aina yoyotee.......tunatumia pull and pray🤣
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.