Wanawake wengi huondoka na watoto wakidhani wanaume watawafuata. sijui nani aliwadanganya kuwa mwanaume mtego wake ni mtoto

Ukosahih mkuu, ila % kubwa wengi hufanya hivo kwa nia ya kukomoa.

Pia mim nmejiridhisha bila wasiwasi kwamba pamoj na mtoto kukaa miez 9 na kunyonya maziw ya mama yake, ila kama utotoni hataishi na mama yake bond yao inakuwa hafifu sana kuliko mtoto na baba yake hawakuishi pamoja katika makuzi ya mtoto.
 
Wanaondoka na watoto zao sababu wanajua mnaweza kuwabaka… 😹

Mwanaume mlevi mbwa, malaya muda wote anawaza mbususu.. unaweza kumuachia watoto??
Dah kumbe baba yako alikubaka
 
Wanaume walevi linapokuja suala la bichwa la chini hamjui hao km watoto zenu…!!
I dont think so. Mimi nimekuwa kwenye familia ambayo wanaume wote wanakunywa na hakuna hata aliyewahi kuhisi watoto kutendewa unyama kama huu. Nadhani ni suala la mazingira mtu aliyolelewa. la siyo kama nakataa kuwa kuna familia nyingine ambazo haziaminiani kabisa na kila kinachofanyika kinaangaliwa kwa macho mawili.
 
Dah kumbe baba yako alikubaka
Alianzia kwako kukubaka… si umeona matokeo yake nguvu huna unaparamia comment hovyo..!!

Hivi alikupiga vingapi? Usiniambie alikupiga day & night 😹😹😹
 
Na wewe ukiwemo usijitoe mkuu 😹
Yep, kama ndivyo utuonavyo mimi ni nani mpaka nikatae?. Sema ujue mtu akivuta bangi akaanza kuwaona watu kama sisimiz ujue tatzo ni hizo bhange zake. Hivyo mkuu uangalie hiyo bange mapenzikuuma umeinyea wap. Lkn nichek inbox nina dawa yako asee kama hauta jali 😎😎.
 
Mkuu kuna wazazi ni wa hovyo, hakuna mama anayekataa kubaki au kuacha watoto kwa baba ambaye yuko vizuri..!!
 
Wanaume wengi hung'ang'ania watoto kama silaha ya kuwachapia na kuwatishia wake zao
Hapo umendaika kinyume kinyume dear.

Hebu kwenye hii comment yako hapo kwenye "wanaume" andika wanawake na hapo kwenye kwenye "wake" andika waume hili bandiko lako liwe na uhalisia.
 
Alianzia kwako kukubaka… si umeona matokeo yake nguvu huna unaparamia comment hovyo..!!

Hivi alikupiga vingapi? Usiniambie alikupiga day & night 😹😹😹
Mi nilimfirimba baba Yako vi3
 
Alianzia kwako kukubaka… si umeona matokeo yake nguvu huna unaparamia comment hovyo..!!

Hivi alikupiga vingapi? Usiniambie alikupiga day & night 😹😹😹
Unataka nikubandue vingapi we malaya
 
Mi nilimfirimba baba Yako vi3
Baba anabaka wajinga km wewe na mwenyewe umeshuhudia..!!

Hata hivyo kasema hataki mchepuko ko kitulize mkuu..! Hata mi sijapenda kuwa na step maza aina yako.! Tchao 😹
 
Unataka nikubandue vingapi we malaya
Kurudia kureply comment moja mara mbili ni kwamba dawa imekuingia… 😹😹

Kwaheri tukutane kwenye uzi mwingine, karibu kwenye Ulimwengu wa Lamomy. Unapokelewa km ulivyokuja 🤣
 
Keshaandika mleta mada imetosha

Halafu JF hatuitani dear. Ni Mkuu
Hapo umendaika kinyume kinyume dear.

Hebu kwenye hii comment yako hapo kwenye "wanaume" andika wanawake na hapo kwenye kwenye "wake" andika waume hili bandiko lako liwe na uhalisia.
 
Waisjaribu kwa mchaga n balaaa

Kaka yangu ana Mwaka WA 15 atakuwa HATA kusikia sauti ya mwanae Wala mama yake mwisho wameamua kuja home akimwambja huyu NDIE baba yako..baba yako halisi kakutaaaa loh....mtoto WA hiari...NKAMWAMBIA wachaga HATUNA hii huyu lazima akakae kwa baba yake pambana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…