Wanawake wengi wameolewa ila hawawapendi waume zao kutoka moyoni

Wanawake wengi wameolewa ila hawawapendi waume zao kutoka moyoni

Manzi yangu wa Sasa tuna wiki mbili ashaanza nielezea umuhimu wa kuandika urithi,namchora tu ili nile mbususuuu halafu ndio badae apigwe na kitu kizito.
 
Hili nalo neno... Japo wapo walioolewa kwa sababu fulani fulani za kimaisha kama mali, na sio kwa kuwapenda waume zao.... Of course wanawake wengi wanakatishwa tamaa na matatizo ya ndani ya ndoa, ila pia wapo ambao ndoa iko vizuri ila yeye hampendi tu mume, mume ndio anafosi
Sasa kuna huyu natembea nae sijui ana shida gani , mali za kutosha, watoto wazuri amezaa wa kutosha, huwa najiulizaga sasa huyu anataka nini sijui.
 
Wanawake wengi wakinifungua hua hamu ya tendo inapungua km sikuisha kabisa na inahamia kwa mtoto,nitahidi sn kua nae karibu and if possible mtoe outing nyingi uwezavyo yy na mtoto ili kumbadilishia mazingira maana bila ya hivyo ndio muda wakumtafuta jirani amkaze kwakua ww huna hajanae the rest ni habits za mtu tu
 
Nimeketi zangu room, sina habari, nje wameketi Mwanamke mmoja wa 1998 na mwingine wa 1979... Wote wameolewa 1998 Mume wake ni wa 1990, na wa 1979 mume wake ana miaka 70+

Huyu wa mwanamke wa 1998, mume wake ana wivu wa kupitiliza na uwa inapelekea wanakwaruzana mara kwa mara, mpaka dogo anashindwa kujaliwa mume akihisi atapendeza sana kisha kuwavutia mahalamia, ni kweli binti ana uzuri fulani hivi ila matunzo zero. Kwa upande wa bi mkubwa wa 1979 yeye ni wa kawaida na mume wake ni mzee na uwa ana pressure. Wote hawa wanawake story zao zinafanana, hani wamepitia mistrust issues na some sort of domestic violence.

Sasa niwapangaji wenzangu, mimi nimeketi zangu ndani, Bi Mkubwa wa 1979 apiga story na huyo mwanamke wa 1998, story zao wote ni kuwa hawapendi waume zao, yani wanaishi nao kinafiki tu. Huyu bibie wa 1979 mume wake ana shida ya figo na ilitolewa na ana pressure, huyo wa 1998 yeye mume wake ni mpambanaji tu na yuko fit ila kama nilivyosema ni kuwa jamaa ana wivu sana kitu kinachopelekea mke wako kuwa kama mfungwa hata sisi wapangaji wakiume tunapunguza mazoea ili tusilete kashikashi.

Yani kwa kifupi hawa wanawake wote wawili wanapiga story waziwazi, kuwa hawawapendi waume zao, wanaishi nao tu ilimradi tu. Kauli ambayo ilinitisha kidogo, yani kumbe kuna wanaume wanalea familia huku wake zao hawapendi, yani wanawake hawa wapo kwenye hizi ndoa kwa sababu fulani fulani tu ila sio mapenzi. Huyu bi mkubwa ndio mother house, na ana watoto wakiume tu na ana wajukuu ambao wapo mkoa mwingine huko, yeye anaishi na mume wake tu ambae ni mzee wa miaka 70+, anasubiri mzee akate moto tu. 😂

Jamani unaweza ukahisi mke wako anakupenda, kumbe yupo na wewe kwa sababu fulani fulani tu kama watoto, au hana namna ya kimaisha tu kwa hiyo kaamua kujistiri kwako, au angalau wewe una unafuu wa maisha au kuna sababu yoyote tu inayomfanya ishi na wewe ila moyoni mwake haupo.

NB: Ishi na hawa viumbe kwa akili sana
Nilichogundua hapo huyo bimkubwa anamdanganya huyo bint yeye kashamaliza yadunia mpaka wajukuu anao sasa anaishije kinafiki kwenye ndoa wakat ashazeeka, sometimes hawa watuwazima viazi hawapaswi kukaa karibu na mabint🚮🚮🚮
 
Nimeketi zangu room, sina habari, nje wameketi Mwanamke mmoja wa 1998 na mwingine wa 1979... Wote wameolewa 1998 Mume wake ni wa 1990, na wa 1979 mume wake ana miaka 70+

Huyu wa mwanamke wa 1998, mume wake ana wivu wa kupitiliza na uwa inapelekea wanakwaruzana mara kwa mara, mpaka dogo anashindwa kujaliwa mume akihisi atapendeza sana kisha kuwavutia mahalamia, ni kweli binti ana uzuri fulani hivi ila matunzo zero. Kwa upande wa bi mkubwa wa 1979 yeye ni wa kawaida na mume wake ni mzee na uwa ana pressure. Wote hawa wanawake story zao zinafanana, hani wamepitia mistrust issues na some sort of domestic violence.

Sasa niwapangaji wenzangu, mimi nimeketi zangu ndani, Bi Mkubwa wa 1979 apiga story na huyo mwanamke wa 1998, story zao wote ni kuwa hawapendi waume zao, yani wanaishi nao kinafiki tu. Huyu bibie wa 1979 mume wake ana shida ya figo na ilitolewa na ana pressure, huyo wa 1998 yeye mume wake ni mpambanaji tu na yuko fit ila kama nilivyosema ni kuwa jamaa ana wivu sana kitu kinachopelekea mke wako kuwa kama mfungwa hata sisi wapangaji wakiume tunapunguza mazoea ili tusilete kashikashi.

Yani kwa kifupi hawa wanawake wote wawili wanapiga story waziwazi, kuwa hawawapendi waume zao, wanaishi nao tu ilimradi tu. Kauli ambayo ilinitisha kidogo, yani kumbe kuna wanaume wanalea familia huku wake zao hawapendi, yani wanawake hawa wapo kwenye hizi ndoa kwa sababu fulani fulani tu ila sio mapenzi. Huyu bi mkubwa ndio mother house, na ana watoto wakiume tu na ana wajukuu ambao wapo mkoa mwingine huko, yeye anaishi na mume wake tu ambae ni mzee wa miaka 70+, anasubiri mzee akate moto tu. 😂

Jamani unaweza ukahisi mke wako anakupenda, kumbe yupo na wewe kwa sababu fulani fulani tu kama watoto, au hana namna ya kimaisha tu kwa hiyo kaamua kujistiri kwako, au angalau wewe una unafuu wa maisha au kuna sababu yoyote tu inayomfanya ishi na wewe ila moyoni mwake haupo.

NB: Ishi na hawa viumbe kwa akili sana
Dah mimi nimeligundua hilo,mke wangu naishi nae kimachale......ukijifanya umefika unaweza tandikwa ''KO'' ukajikuta unaangukia kwenye presha,kisukari,stroke,umaskini na pombe!
 
Nimeketi zangu room, sina habari, nje wameketi Mwanamke mmoja wa 1998 na mwingine wa 1979... Wote wameolewa 1998 Mume wake ni wa 1990, na wa 1979 mume wake ana miaka 70+

Huyu wa mwanamke wa 1998, mume wake ana wivu wa kupitiliza na uwa inapelekea wanakwaruzana mara kwa mara, mpaka dogo anashindwa kujaliwa mume akihisi atapendeza sana kisha kuwavutia mahalamia, ni kweli binti ana uzuri fulani hivi ila matunzo zero. Kwa upande wa bi mkubwa wa 1979 yeye ni wa kawaida na mume wake ni mzee na uwa ana pressure. Wote hawa wanawake story zao zinafanana, hani wamepitia mistrust issues na some sort of domestic violence.

Sasa niwapangaji wenzangu, mimi nimeketi zangu ndani, Bi Mkubwa wa 1979 apiga story na huyo mwanamke wa 1998, story zao wote ni kuwa hawapendi waume zao, yani wanaishi nao kinafiki tu. Huyu bibie wa 1979 mume wake ana shida ya figo na ilitolewa na ana pressure, huyo wa 1998 yeye mume wake ni mpambanaji tu na yuko fit ila kama nilivyosema ni kuwa jamaa ana wivu sana kitu kinachopelekea mke wako kuwa kama mfungwa hata sisi wapangaji wakiume tunapunguza mazoea ili tusilete kashikashi.

Yani kwa kifupi hawa wanawake wote wawili wanapiga story waziwazi, kuwa hawawapendi waume zao, wanaishi nao tu ilimradi tu. Kauli ambayo ilinitisha kidogo, yani kumbe kuna wanaume wanalea familia huku wake zao hawapendi, yani wanawake hawa wapo kwenye hizi ndoa kwa sababu fulani fulani tu ila sio mapenzi. Huyu bi mkubwa ndio mother house, na ana watoto wakiume tu na ana wajukuu ambao wapo mkoa mwingine huko, yeye anaishi na mume wake tu ambae ni mzee wa miaka 70+, anasubiri mzee akate moto tu. 😂

Jamani unaweza ukahisi mke wako anakupenda, kumbe yupo na wewe kwa sababu fulani fulani tu kama watoto, au hana namna ya kimaisha tu kwa hiyo kaamua kujistiri kwako, au angalau wewe una unafuu wa maisha au kuna sababu yoyote tu inayomfanya ishi na wewe ila moyoni mwake haupo.

NB: Ishi na hawa viumbe kwa akili sana
actually it is true,
ndoa nyingi mno, hususani za sasa, zina sura hiyo, na maisha yanaendelea kwasababu tu ya dhamana ya pamoja waliyonayo wana ndoa, mathalani watoto, mali au dini, lakini ile true love moto moto hakuna kabisa🐒
 
Fedha kwa siku hizi inaamua mwanamke aolewe na nani, maswala ya kupenda yamebaki kwenye tamthilia za Kifilipino na Telenovela.

Baaadhi ya wanawake siku hizi huchanganyikiwa,hasa akikutana na situation ya anaye mpenda ana uchumi wa kawaida na yule hasiye mpenda ana hela na anania ya kumuoa.Hapa ndipo anaenda kuolewa na yule mwenye fedha,ila still yule anaye mpenda anakuwa kidumu chake na unaweza ukakuta kwenye watoto na yy ana mtoto wake.
 
)

3. Mume na mke wote wakipendana sawa sawa. Hawa ni soulmates na huu ni muunganiko mtakatifu kiroho. Hawa ni nadra sana kutengana na wakiungana sawasawa ndiyo hutenda maajabu na kufanikiwa sana (power couple). Inasemekana mtu hukutana na soulmate wake mara moja tu maishani na kuna imani kwamba kwa wanawake mara nyingi ni yule mwanaume anayembikiri. Ndiyo maana eti huwa vigumu sana kwa mwanamke kumsahau mwanaume aliyeifungua ile njia ielekeayo kwenye kiini cha uhai na maisha. Na hiki ndicho chanzo cha ule usemi kwamba kama umeoa mwanamke ambaye hukumbikiri kimsingi umeoa soulmate (mke halali wa kiroho) wa mtu. Ndiyo maana migogoro haiishi katika ndoa (incompatible souls).

Kwa sasa ni hayo tu! 🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️

I mean no malice to nobody 🖐
Ushauri mzuri Sana, mkubwa wetu Shimba ya Buyenze.
Last nime penda hapo, I mean no malice to nobody 😁😊🙏
 
Niliwahi kusoma mahala. Nadhani ni kwenye vitabu vya hawa washauri wa ndoa wa Naijeria kama siyo kwa Rev. Munroe.

Kwamba mwanaume zingatia sana fomyula hii unapotafuta mke:

Hakikisha mkeo ndiye anakupenda zaidi kuliko wewe unavyompenda yeye.

Sasa wewe unakurupuka unapenda usipopendwa mtu anataka tu angalau umuoe ili kumwondolea nuksi, mbona usiishie kuona rangi zote zilizopo hapa duniani?

1. Mume akimpenda sana mkewe kuliko mke anavyompenda mumewe = mateso ya kila aina kwa mume. Ndoa itadumu tu kama mume ni mvumilivu! Mke hisia zake zitakuwa kwa mwanaume mwingine anayempenda au aliyewahi kumpenda!

2. Mwanamke akimpenda sana mumewe kuliko mume anavyompenda mkewe = Shida ndogo ndogo kwa mke lakini kutokana na uvumilivu wa wanawake ndoa itadumu sana. Wanaume siyo watu wa hisia bali ni watu wanaotaka kuheshimiwa. Utii na heshima vinakuja naturally kwa mwanamke kama anampemda mumewe kikweli. Hawa wataishi vizuri tu hasa kama mwanaume anajitambua (hachukulii upendo wa kweli wa mkewe kwake for granted)

3. Mume na mke wote wakipendana sawa sawa. Hawa ni soulmates na huu ni muunganiko mtakatifu kiroho. Hawa ni nadra sana kutengana na wakiungana sawasawa ndiyo hutenda maajabu na kufanikiwa sana (power couple). Inasemekana mtu hukutana na soulmate wake mara moja tu maishani na kuna imani kwamba kwa wanawake mara nyingi ni yule mwanaume anayembikiri. Ndiyo maana eti huwa vigumu sana kwa mwanamke kumsahau mwanaume aliyeifungua ile njia ielekeayo kwenye kiini cha uhai na maisha. Na hiki ndicho chanzo cha ule usemi kwamba kama umeoa mwanamke ambaye hukumbikiri kimsingi umeoa soulmate (mke halali wa kiroho) wa mtu. Ndiyo maana migogoro haiishi katika ndoa (incompatible souls).

Kwa sasa ni hayo tu! 🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️

I mean no malice to nobody 🖐
financial services njoo usome kwa makini, usije sema siku kujulisha mema.
 
Wanawake hawana uwezo wa kupenda.

Women are loyal to their need of you. Not yourself
 
Hili ni dunia nzima. Binadamu tungekubali kuishi kama wanyama yani bila ndoa, nadhani maisha yangekuwa mazuri. Ndoa ni hati miliki, ina wanyima watu uhuru wa kuishi watakavyo. Ama ukubali uwe single faza au single maza, bila hivyo utaishi kama sisi, yani kuvumiliana tu.
 
Nimeketi zangu room, sina habari, nje wameketi Mwanamke mmoja wa 1998 na mwingine wa 1979... Wote wameolewa 1998 Mume wake ni wa 1990, na wa 1979 mume wake ana miaka 70+

Huyu wa mwanamke wa 1998, mume wake ana wivu wa kupitiliza na uwa inapelekea wanakwaruzana mara kwa mara, mpaka dogo anashindwa kujaliwa mume akihisi atapendeza sana kisha kuwavutia mahalamia, ni kweli binti ana uzuri fulani hivi ila matunzo zero. Kwa upande wa bi mkubwa wa 1979 yeye ni wa kawaida na mume wake ni mzee na uwa ana pressure. Wote hawa wanawake story zao zinafanana, hani wamepitia mistrust issues na some sort of domestic violence.

Sasa niwapangaji wenzangu, mimi nimeketi zangu ndani, Bi Mkubwa wa 1979 apiga story na huyo mwanamke wa 1998, story zao wote ni kuwa hawapendi waume zao, yani wanaishi nao kinafiki tu. Huyu bibie wa 1979 mume wake ana shida ya figo na ilitolewa na ana pressure, huyo wa 1998 yeye mume wake ni mpambanaji tu na yuko fit ila kama nilivyosema ni kuwa jamaa ana wivu sana kitu kinachopelekea mke wako kuwa kama mfungwa hata sisi wapangaji wakiume tunapunguza mazoea ili tusilete kashikashi.

Yani kwa kifupi hawa wanawake wote wawili wanapiga story waziwazi, kuwa hawawapendi waume zao, wanaishi nao tu ilimradi tu. Kauli ambayo ilinitisha kidogo, yani kumbe kuna wanaume wanalea familia huku wake zao hawapendi, yani wanawake hawa wapo kwenye hizi ndoa kwa sababu fulani fulani tu ila sio mapenzi. Huyu bi mkubwa ndio mother house, na ana watoto wakiume tu na ana wajukuu ambao wapo mkoa mwingine huko, yeye anaishi na mume wake tu ambae ni mzee wa miaka 70+, anasubiri mzee akate moto tu. 😂

Jamani unaweza ukahisi mke wako anakupenda, kumbe yupo na wewe kwa sababu fulani fulani tu kama watoto, au hana namna ya kimaisha tu kwa hiyo kaamua kujistiri kwako, au angalau wewe una unafuu wa maisha au kuna sababu yoyote tu inayomfanya ishi na wewe ila moyoni mwake haupo.

NB: Ishi na hawa viumbe kwa akili sana
Kweli kabisa. Wanadai muda ukifika ni SAGULAGA! Njemba yoyote ikitokea poa!
Hapo wanaangalia maslahi tu aliyokuwa nayo dume! Na huwa hazidumu hasa wikisha zaa na mwanamke kuwa vizuri kimaisha.
Namuonea huruma njemba yangu ikishakuwa mwanaume na kufikisha muda wa kupata mwenza 😢😭😹😿
 
Back
Top Bottom