Wanawake wengi wameolewa na wanaume ambao sio chaguo lao

Wanawake wengi wameolewa na wanaume ambao sio chaguo lao

Raymanu KE

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2022
Posts
8,611
Reaction score
16,118
Almost 80% ya wanawake wanaishi na waume ambao sio chaguo lao halisi.
Yaani they just " settled" with their current husbands baada ya kushindwa kupata wanaume WA ndoto Zao.

Kwa utafiti uliofanywa, wanawake 7 Kati ya kumi walikiri wanaishi na mwanaume ambaye hakuwa chaguo lake kwa asilimia 💯
Yaani alijikuta Tu yupo naye hakujua wengefika hapa walipofikia.

Ndio maana mwanamke akijipata kiuchumi huwa anawaza kuomba talaka kwa mumuwe awe huru aishi maisha yake kwa sababu amekuwa 'independent'

Ni wanawake wachache Sana ambao wanaishi na wanaume WA ndoto Zao.
Bt most of them have just " settled" with men they didn't dream for.
 
Mwanaume ndiye anaeoa.. huchagua yeyote wa kumfaa.
Mwanamke ni msaidizi. Atasaidia pale atakapochaguliwa kusaidia.

"Enyi waume wapendeni wake zenu, enyi wake watiini waume zenu"

Kuruhusu mwanamke apate chaguo lake, ndo kumeifanya hii sekta ya ndoa kuwa ngumu na kuwafanya kataa ndoa watembee vifua mbele.

A man needs a kingdom to be a King; however, a woman needs a King to be Queen.
 
Mwanaume ndiye anaeoa.. huchagua yeyote wa kumfaa.
Mwanamke ni msaidizi. Atasaidia pale atakapochaguliwa kusaidia.

"Enyi waume wapendeni wake zenu, enyi wake watiini waume zenu"

Kuruhusu mwanamke apate chaguo lake, ndo kumeifanya hii sekta ya ndoa kuwa ngumu na kuwafanya kataa ndoa watembee vifua mbele.

A man needs a kingdom to be a King; however, a woman needs a King to be Queen.
Wanawake nao pia Wana machaguo Yao.
Each and every one has their own preferences & tastes
 
Almost 80% ya wanawake wanaishi na waume ambao sio chaguo lao halisi.
Yaani they just " settled" with their current husbands baada ya kushindwa kupata wanaume WA ndoto Zao.

Kwa utafiti uliofanywa, wanawake 7 Kati ya kumi walikiri wanaishi na mwanaume ambaye hakuwa chaguo lake kwa asilimia 💯
Yaani alijikuta Tu yupo naye hakujua wengefika hapa walipofikia.

Ndio maana mwanamke akijipata kiuchumi huwa anawaza kuomba talaka kwa mumuwe awe huru aishi maisha yake kwa sababu amekuwa 'independent'

Ni wanawake wachache Sana ambao wanaishi na wanaume WA ndoto Zao.
Bt most of them have just " settled" with men they didn't dream for.
Suluhisho?

Hata ukienda Ulaya na Japani ni hivyo hivyo.

Acha kujichosha
 
Back
Top Bottom