Wanawake wengi wameolewa na wanaume ambao sio chaguo lao

Wanawake wengi wameolewa na wanaume ambao sio chaguo lao

Ila wanaume ni wachache ukilinganisha na wanawake
Weka poll hapa uone au kwingineko ndo utajua wanaume wanalazimika kuwa walevi kwa stress na hawana pa kusema kwa kulinda “uanaume” wanakufa na tai shingoni. Kwa ufupi ni moja ya sababu ya wanaume kufa mapema kabla ya wamama
 
Weka poll hapa uone au kwingineko ndo utajua wanaume wanalazimika kuwa walevi kwa stress na hawana pa kusema kwa kulinda “uanaume” wanakufa na tai shingoni. Kwa ufupi ni moja ya sababu ya wanaume kufa mapema kabla ya wamama
Pamoja na hayo yote, wanawake bado ni wengi kuliko wanaume.Believe me.
 
Hao wa ndouo tatizo unakuta hawajatulia asa akina mwanaume wa maana anaetaka.ku settle kwann usiolewe ukatulia
 
Kulinda uchumi kivipi ina maana huwa huwaoni wanandoa walioimarika kiuchumi baada ya kuoana.

Wahuni WA kataa ndoa MNA sababu za kijinga Sana dhidi ya ndoa
Yule saidi aliye hukumiwa kunyongwa chanzo si mkewe?.

Kampa biashara, hela ila bado kasalitiwa na kadharauliwa juu.
 
Yule saidi aliye hukumiwa kunyongwa chanzo si mkewe?.

Kampa biashara, hela ila bado kasalitiwa na kadharauliwa juu.
Huyo mwanamke hakuwa anampenda Hamisi.
Jamaa alitumia nguvu ya pesa pamoja na kubadilisha dini ili mwanamke amkubalie ombi lake.

Mwanamke alimkubali kishingo ulande ila hakuwa amempenda jamaa kutoka moyoni ndo akaanza kumfanyia kiburi,dharau na kuleta wanaume kwenye nyumba yao.

Hamisi akashindwa kuvumilia ndo akamfanyie ukatili WA kumchoma na kufukia majivu shsmbani.

Usiwahi lazimisha mwanamke ambaye Hana hisia na wewe akupende.Utateseka Sana mkuu.
Women will always be loyal to their feelings irregardless of what you do for her.Kama hakupendi ni hakupendi Tu.
 
Hao wa ndouo tatizo unakuta hawajatulia asa akina mwanaume wa maana anaetaka.ku settle kwann usiolewe ukatulia
Kama hajakutana na mwanaume WA ndoto zake atalazimika kusettle na mwanaume yeyote ilimradi Tu.
Then afterwards matukio yanaanza mwanaume anaanza kuziona rangi kamili za mke wake.

Yule jamaa aliyehukumiwa kinyonge Alikuwa king'ang'anizi kwa Yule mwanamke Hadi akabadilisha DINI ili kumfurahisha mwanamke ndo amkubalie.
Nadhani kila mtu anajua kilichofuata baada ya hapo
 
Je mamako kaolewa na mme sahihi au ndo mtoto asiye na baba?
 
Kama hajakutana na mwanaume WA ndoto zake atalazimika kusettle na mwanaume yeyote ilimradi Tu.
Then afterwards matukio yanaanza mwanaume anaanza kuziona rangi kamili za mke wake.

Yule jamaa aliyehukumiwa kinyonge Alikuwa king'ang'anizi kwa Yule mwanamke Hadi akabadilisha DINI ili kumfurahisha mwanamke ndo amkubalie.
Nadhani kila mtu anajua kilichofuata baada ya hapo
Shida huja unapong'ang'ania jambo sio tu ndoa jambo lolote ukiona haliendi achana nalo ..
Watu wana settle na watu wasio.machaguo ya maisha yanaenda mpaka kiama huo pia ni mfano hai!
Kuna wanaolazimisha yule mwanamke a-settle kwa ajili yao hawa ndo hukutana na magumu! Ila kama mwanamke ataamua mwenyewe walaa mbona mambo yanaenda tu na kama atabadilika achana nae gawaneni izo mali kujiepusha na mambo yasio na maana!
 
Almost 80% ya wanawake wanaishi na waume ambao sio chaguo lao halisi.
Yaani they just " settled" with their current husbands baada ya kushindwa kupata wanaume WA ndoto Zao.

Kwa utafiti uliofanywa, wanawake 7 Kati ya kumi walikiri wanaishi na mwanaume ambaye hakuwa chaguo lake kwa asilimia 💯
Yaani alijikuta Tu yupo naye hakujua wengefika hapa walipofikia.

Ndio maana mwanamke akijipata kiuchumi huwa anawaza kuomba talaka kwa mumuwe awe huru aishi maisha yake kwa sababu amekuwa 'independent'

Ni wanawake wachache Sana ambao wanaishi na wanaume WA ndoto Zao.
Bt most of them have just " settled" with men they didn't dream for.
Mkuu nakuhakikishia kuwa mara zote mwanamke huwa anadeal na chaguo lake, namaanisha utakuwa best choice au option nzuri kulingana na mazingira.

Hakuna namna ninaweza kuwa her perfect selection,
Lakini nina uhakika ninaweza kuwa chaguo lake kwa kipindi na mazingira fulani kulingana na uhitaji wake.
Uhitaji mkuu ninamaanisha energy demand yake. Zingatia kiumbe anayetawaliwa na emotions zaidi kuliko logic siku zote atakuwa mtu wa kuchange kulingana na hali atakayokuwa nayo siku hiyo au kipindi.

Ndio maana Kataa ndoa ndio best way to go now days.

Just enjoy your turn.
Ukimaliza mpasie mwingine/ mwache aende atakapoenda kukidhi haja zake.
Nimejikita kwenye misingi ya democracy na nature.

Zingatia now days dunia ina operate. Ni vema kujiadjust kuishi kulingana na Zama za haki na usawa.

Democracy
Mwanamke ana haki ya kukuweka kwenye friendzone na wewe una haki ya kuchagua kuendelea kubaki kama friend with benefit or her dumbazz friend,
ana haki ya one night stand na hakuna namna nitamlazimisha aingie kwenye mahusiano na mimi kumbuka dating game wanawake wana nguvu kuliko wanaume

NB. Ndoa ipo mikononi mwa mwanaume kwaiyo wanawake hawana hatia katika hili.
Ndoa ikifeli ni upuuzi wa mwanaume
Thus why mwanaume huwa anatozwa fidia na mali zinagawiwa nusu kwa nusu.
 
Mwanamke hana machaguo, yeye huangalia palipo na maslahi kwake.

Hata leo ukimkuta na mtu (ambae unaweza kusema ni chaguo lake) ila kesho akikutana na aliye bora kuliko huyu chaguo lake lazima kiumane.

Kataa ndoa ndo wanaweza kulielezea hili kiundani.

Wanawake nao pia Wana machaguo Yao.
Each and every one has their own preferences & tastes
 
Back
Top Bottom