Wanawake wengi wameolewa na wanaume ambao sio chaguo lao

Wanawake wengi wameolewa na wanaume ambao sio chaguo lao

Mkuu nakuhakikishia kuwa mara zote mwanamke huwa anadeal na chaguo lake, namaanisha utakuwa best choice au option nzuri kulingana na mazingira.

Hakuna namna ninaweza kuwa her perfect selection,
Lakini nina uhakika ninaweza kuwa chaguo lake kwa kipindi na mazingira fulani kulingana na uhitaji wake.
Uhitaji mkuu ninamaanisha energy demand yake. Zingatia kiumbe anayetawaliwa na emotions zaidi kuliko logic siku zote atakuwa mtu wa kuchange kulingana na hali atakayokuwa nayo siku hiyo au kipindi.

Ndio maana Kataa ndoa ndio best way to go now days.

Just enjoy your turn.
Ukimaliza mpasie mwingine/ mwache aende atakapoenda kukidhi haja zake.
Nimejikita kwenye misingi ya democracy na nature.

Zingatia now days dunia ina operate. Ni vema kujiadjust kuishi kulingana na Zama za haki na usawa.

Democracy
Mwanamke ana haki ya kukuweka kwenye friendzone na wewe una haki ya kuchagua kuendelea kubaki kama friend with benefit or her dumbazz friend,
ana haki ya one night stand na hakuna namna nitamlazimisha aingie kwenye mahusiano na mimi kumbuka dating game wanawake wana nguvu kuliko wanaume

NB. Ndoa ipo mikononi mwa mwanaume kwaiyo wanawake hawana hatia katika hili.
Ndoa ikifeli ni upuuzi wa mwanaume
Thus why mwanaume huwa anatozwa fidia na mali zinagawiwa nusu kwa nusu.
Umeongea madini Sana mkuu upo sahihi kbsa
 
True wengi wanaolewa na wanaume walio tayari kuwaoa anaweza akawa na wanne mmoja anampenda sana wa ndoto but hajawa tayari kuoa, mwingine si chaguo lake lakini yupo speed kuoa, mwenye speed ya kuoa ndie atakaekubaliwa hofu asikose ndoa
 
Saa nyingine mi naona hivi huwa ni visingizio tuu. Yote kwa yote, mwanamke au mwanaume jitahidi usiwe mzigo kwa mwenzi/mpenzi wako kwani tabia hii ndio ambayo inachangia kuhitimisha ule msemo wa kamba hukatikia pembamba. Uzito huu unaweza kuwa kiuchumi, kiroho, kijamii na baadhi ya tabia zenye kukera ikiwemo uchafu, uvivu uliopitiliza, na kuropoka ropoka ovyo. Mahusiano/ndoa za aina hii ndio zile unakuta mtu kaachwa kisa hajapokea simu, kasafiri karudi bila zivu aloondoka nalo au kuambiwa kuwa anailisha familia mandondo kila siku.
 
Back
Top Bottom