Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Aisee wenye wivu wajinyongee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyeleta mada ni mwanaume ataolewaje? Au Unatoa 071 huko ulikookewa?Olewa na wewe kama unaona wanawake wanafaidi.
#kumradhi.
Ndio maana msela wetu mosha kapiga chini mwiziNi kweli
upo dada?Naona umetuma na ya kutolea hapa😂
Mpe pole msela😅Ndio maana msela wetu mosha kapiga chini mwizi
Hahaha jiwe gizani limetua kwenye kichwa cha mtu chenye kipara Tup!
Kilio kikasikika Yalaaaa!...
KWeli au uongo ila hata wanaume pia wanaoa kupata unafuu wa kupata nyapu
Mimi hapa sitii neno lolote
Inategemea. Kuna mpini ukionja utajikuta unautaka kila siku!Sio kivile kama nyie
[emoji16][emoji16]Msione nipo kimya ndugu zangu nipo watsup huku naandika sms ndefu ndefu za kumuomba msamaha kwa kutokujua Leo ni birthday yake
Alikufa kwa dhambi zipi?Upendo wa kweli alikuwa nao Yesu pekee kwa kutoa uhai wake ili wenye dhambi waokolewe, Binadamu hafikii kiasi hicho hata kwa 30% tu.
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Hakika siwezi pinga, urahisi wa nyapu ya wakati wowote nao uhitaji akizingua kutoa nyapu anarudi kwao kwa baiskel.KWeli au uongo ila hata wanaume pia wanaoa kupata unafuu wa kupata nyapu
Ukioa lazima uwe na mchepuko na umvumilie mwenzako naujenge uvumilivu, naupendo maana atakuwa na majukumu mengi sana kiwemo ndugu zako ,watoto , na familia kwa ujumlaHakika siwezi pinga, urahisi wa nyapu ya wakati wowote nao uhitaji akizingua kutoa nyapu anarudi kwao kwa baiskel.
kumbe umeshawahi sitiNAKAZIA