Wanawake wengi wanaolewa ili kupata urahisi wa maisha na sio upendo wa kweli

Wanawake wengi wanaolewa ili kupata urahisi wa maisha na sio upendo wa kweli

Hofu ya mstakabali wa maisha Yao ndio ndio!
Wakishapata mstakabali Toka kwa huyo mwanamme bas mwanamme huonekana kikwazo Cha yeye kujitawala!!

Tena akaipata kajumba kakuishi na vitoto na akapata chanzo zcha kupata vi Hela Basss chokochoko huanza!!!

Unajiongeza hapo!!
 
Malalamiko yamekua mengi hadi kero, si msioanee tyuuh.
Tumeshachoka na kelele zenu, mfyuuuh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom