Wanawake wengi wazuri wanatuingiza gharama kubwa na kitandani hawana miujiza. Watoto wa Uswazi ni watamu sana ila wachawi kama Mshana Jr

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
Hii saa tano kasoro, natoka Ledgers Plaza Bahari Beach, kufanya zinaa na mwanamke asiye mke wangu, ila tu ni hawara.

Kiburi na dharau na jeuri ya mke wangu inanifanya nipoteze hamu naye kabisaaa. Mwanamke ana gubu, ana matusi, ana masimango na kila kitu cha pepo mchafu, licha ya kwamba ana mazuri yake mengi kuliko mabaya.

Kwa uzoefu wangu hawa wadada warembo nimepita nao wengi wa kutosha, unaingia gharama kubwa, uvunguni hawana miujiza.

Ila watoto wa Uswahilini ni wajuzi sana ila wachawi sana, hukawii kuikimbia familia.
 
Njoo kwa Yesu uokoke
 
Napapenda sana hapo hotel ya Muhammad Gaddafi...

Vile vijumba vyake napenda kupandisha ghorofani vimekaa vizuri sanaa .

Nakumbuka sisi tulilipa Kwa Dola ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š

โœŒ๏ธโœŒ๏ธโœŒ๏ธ
 
Napapenda sana hapo hotel ya Muhammad Gaddafi...

Vile vijumba vyake napenda kupandisha ghorofani vimekaa vizuri sanaa .

Nakumbuka sisi tulilipa Kwa Dola ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š

โœŒ๏ธโœŒ๏ธโœŒ๏ธ
Yap !! Wana accept รงurrencies mbalimbali.
 
Mungu Mwenyezi akuepushe na maradhi na akusamehe na kukutakasa na Roho ya uzinzi
 
kuku wa kienyeji watamu sana kaka mimi kila mwaka najitafutia mmoja anakuwa supersub
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ