Wanawake wengi wazuri wanatuingiza gharama kubwa na kitandani hawana miujiza. Watoto wa Uswazi ni watamu sana ila wachawi kama Mshana Jr

"Black people are GOOD FOR NOTHING else, apart from indulging in Sex and Marrying so many Wives."
Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
Kwanini usitafute njia nyingene mpak uchepuke wanaume hamridhiki kwa nini
 
unakaribisha gundu maishani mwako ndugu kwa kuwaingili machangudoa bila kujua.

nafikiri ungejichua japo ni wazo tuh lakini
Sasa ndio umeongea nini?


Ivi unajua ni hatari kiroho kuliko kimwili? Anayejichua ni kama anadhoofika kiroho(Unapishana na bahati,jana yako na kesho yako hazina tofauti kimafanikio),kiakili( na hata kimwili kwa kiasi,kama utaumwa mgongo,kiuno,tabia ya kughairi mambo n.k) -KAMA UNAFANYA MCHEZO WA KIPUMBAVU na hamu haikati,


Ila anaechepuka hasara zake nyingi ziko kimwili(magonjwa+kifedha) na muhimu zaidi HAMU INAPUNGUA KWA ASILIMIA KUBWA SANA...UNAWEZA CHEPUKA LEO UKAENDELEA TENA BAADA YA WIKI2 ILA KUJICHUA HUWEZ HIVYO.


Alafu ukiwa unachepuka inaongeza hamu ya kutafuta hela kwa speed zaid ila kujichukulia sheria mkononi unakuwa bwegebwege ,wewe kupata na kukosa kwako sawia tu.


NB: KAMA MFALME ALIKUWA NA WAKE WADOGO(MICHEPUKO) 300+ SASA UTASEMAJE INALETA MIKOSI ?


EMU TUACHE KUISHI KWA AKILI ZA MTAANI NA GOOGLE
 
ni wazo lakini
 
"Black people are GOOD FOR NOTHING else, apart from indulging in Sex and Marrying so many Wives."
Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
Acha kujidharau yaani weusi wako unasemwa vibaya na wewe una support. Yaani kwenda shule na kujua kusoma kingereza unajikuta unajua hadi kufikia hatua ya kudharirishwa na kujidharirisha na kujiona una akili. Baba yako na mama yako wamekupambania kukupeleka shule ujue hicho kiingereza ili uje uwaite good for nothing.

Jikubali wewe na jamii yako hizo slavish mind achia wapumbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…