Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Msitufanyi hivi LeeYani wana kiti chao mahali😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msitufanyi hivi LeeYani wana kiti chao mahali😅😅
SawaHaya wasalimie Gongi..
Nyie watu hapana kwakweli🤒🤒... sema sikuizi najua namna ya kudeal na nyinyi vizuri, so hamnisumbui hata kidogo 😅😅😅😂🙌Msitufanyi hivi Lee
my fantasy Leejay49 😍Kwakweli augue pole maana sio kwa kichambo hicho alichompa mwajuma ndala ndefu🤠🤠
[emoji1635]Kwani hutambui kwamba watu hutofautina kwa kila kitu kuanzia jina rangi tabia urefu, na mengineyo, hamna cha kushangaza hapo.
Akili ndogo haipimwi kwa salam.
Kuna watu wana akili mingi ila wana dharau vilevile.
Labda kwa tafsiri yako ulimwona wa hadhi ya chini ukategemea atakushobokea.
Mwenye shida niwewe kuweka expectation nyingi kwa watu usio wajua.
Watu wenye upendo bado tupo leejayNyie watu hapana kwakweli🤒🤒... sema sikuizi najua namna ya kudeal na nyinyi vizuri, so hamnisumbui hata kidogo 😅😅😅😂🙌
Hebu nifundishe🌚Nyie watu hapana kwakweli🤒🤒... sema sikuizi najua namna ya kudeal na nyinyi vizuri, so hamnisumbui hata kidogo 😅😅😅😂🙌
Bado hujajui hadi ujue.Nyie watu hapana kwakweli🤒🤒... sema sikuizi najua namna ya kudeal na nyinyi vizuri, so hamnisumbui hata kidogo 😅😅😅😂🙌
Wanawake mshajitengenezea mada sasaWakati anamfata alimuona mrembo, kapigwa kibuti ndio kageuka mwajuma ndala ndefu
Atakudanganya wewe tulia tu mamaHebu nifundishe🌚
nikitulia ntakutafuta mkuu unielekeze mnapatikana wapi🤠🤠Watu wenye upendo bado tupo leejay
Nataka nipate muongozo😊Atakudanganya wewe tulia tu mama
Wewe tu uje na karatasi na peni😃😃Hebu nifundishe🌚
Tupo mara leejay tunapenda na tunajua ku handle vzurinikitulia ntakutafuta mkuu unielekeze mnapatikana wapi🤠🤠
Basi sawaTupo mara leejay tunapenda na tunajua ku handle vzuri
Anza namimi mkuu nakuhakikishia utojutanikitulia ntakutafuta mkuu unielekeze mnapatikana wapi🤠🤠
Tulia wewe🤨🧐Bado hujajui hadi ujue.
Maadam bado unapata hamu na sisi utaendelea kutujua ( mwenye masikio na asikie)😂
Mimi nafurahia sana mwanamke mwenye nyodo.Habari wanajamvi,
Kutokana na utafiti wangu wa hapa na pale kuhusiana na wanawake nimekuja kugundua asilimia kubwa ya wanawake ambao uwezo wao ni mdogo wa kufikiri(especially hawa wa uswahilini ila sio wote) wanakua na kidharau fulani ivi cha kijinga kwa mfano unaeza mfuata ukamsalimia demu normal tu namuongee ila atakavyo kujibu au dharau atakazokuonyesha kama wewe ni takataka fulani..... Like what the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala mtu mwenyewe ukimuangalia kavaa kijora kimepauka kichwani hana lolote saa nyingine ni form four zero.
Ila kwa upande mwengine kuna baadhi ya wanawake wenye uwezo mkubwa wa kufikiri ambao nimekutana nao they are very polite and generous compared tu hawa akina mwajuma ndalandefu ambao kichwani amna kitu zaidi ya vigodoro na kunuka shombo