Wanawake wenye akili ndogo

Wanawake wenye akili ndogo

Survival for the fittest.
Ukiyatazama maisha ya uswahilini utagundua ni maisha ya kustruggle kwa kila kitu.Upate hewa nzuri, kula, kwenda toilet.
Hii inamshape mtu kwa namna tofauti sana, kustruggle kuheshimika na kuwa recognized.
So it's a mental issue iliyojengengeka for so long mpaka inakuwa mazoea na lifestyle.
Hapo alipokujibu kwa dharau ni namna ya kutafuta kiheshimika kwa lazima. Nyuma ya ubongo wake kuna kitu anapambana nacho ambacho sasa kinaonekana kwenye namna anavyofanya kwa watu.
Siku nyingine muhurumie tu mtu wa aina hii.
 
Mimi nafurahia sana mwanamke mwenye nyodo.
Ukikataliwa toa sadaka ya shukrani umeepushwa mikosi na magonjwa..
Kubwa zaidi ameniepusha na stress za mapenzi na gharama ya muda.

mapenzi yanapoteza muda sana.
yanaturudisha nyuma kiuchumi.

Bahati mbaya hatutaacha kupenda.
Chukua soda kiongozi nakuja kulipa ni bors tupige nyeto tu
 
Survival for the fittest.
Ukiyatazama maisha ya uswahilini utagundua ni maisha ya kustruggle kwa kila kitu.Upate hewa nzuri, kula, kwenda toilet.
Hii inamshape mtu kwa namna tofauti sana, kustruggle kuheshimika na kuwa recognized.
So it's a mental issue iliyojengengeka for so long mpaka inakuwa mazoea na lifestyle.
Hapo alipokujibu kwa dharau ni namna ya kutafuta kiheshimika kwa lazima. Nyuma ya ubongo wake kuna kitu anapambana nacho ambacho sasa kinaonekana kwenye namna anavyofanya kwa watu.
Siku nyingine muhurumie tu mtu wa aina hii.
Una akili nyingi sana kiongozi umenipa jibu la first class
 
Survival for the fittest.
Ukiyatazama maisha ya uswahilini utagundua ni maisha ya kustruggle kwa kila kitu.Upate hewa nzuri, kula, kwenda toilet.
Hii inamshape mtu kwa namna tofauti sana, kustruggle kuheshimika na kuwa recognized.
So it's a mental issue iliyojengengeka for so long mpaka inakuwa mazoea na lifestyle.
Hapo alipokujibu kwa dharau ni namna ya kutafuta kiheshimika kwa lazima. Nyuma ya ubongo wake kuna kitu anapambana nacho ambacho sasa kinaonekana kwenye namna anavyofanya kwa watu.
Siku nyingine muhurumie tu mtu wa aina hii.
Umemaliza kila kitu mkuu
 
Back
Top Bottom