Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Sawasawa ☺️☺️Anza namimi mkuu nakuhakikishia utojuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawasawa ☺️☺️Anza namimi mkuu nakuhakikishia utojuta
Naona unagombaniwa mpenzi😌😂Tulia wewe🤨🧐
Sasa leo ndio unanikemea, mbona kama umechelewa😂Tulia wewe🤨🧐
Mbona mimi sijamgombea unanionea bureNaona unagombaniwa mpenzi😌😂
Chukua soda kiongozi nakuja kulipa ni bors tupige nyeto tuMimi nafurahia sana mwanamke mwenye nyodo.
Ukikataliwa toa sadaka ya shukrani umeepushwa mikosi na magonjwa..
Kubwa zaidi ameniepusha na stress za mapenzi na gharama ya muda.
mapenzi yanapoteza muda sana.
yanaturudisha nyuma kiuchumi.
Bahati mbaya hatutaacha kupenda.
🤣🤣🤣🙌Mbona mimi sijamgombea unanionea bure
Una akili nyingi sana kiongozi umenipa jibu la first classSurvival for the fittest.
Ukiyatazama maisha ya uswahilini utagundua ni maisha ya kustruggle kwa kila kitu.Upate hewa nzuri, kula, kwenda toilet.
Hii inamshape mtu kwa namna tofauti sana, kustruggle kuheshimika na kuwa recognized.
So it's a mental issue iliyojengengeka for so long mpaka inakuwa mazoea na lifestyle.
Hapo alipokujibu kwa dharau ni namna ya kutafuta kiheshimika kwa lazima. Nyuma ya ubongo wake kuna kitu anapambana nacho ambacho sasa kinaonekana kwenye namna anavyofanya kwa watu.
Siku nyingine muhurumie tu mtu wa aina hii.
Yani kama watu vile 😅😂😂Naona unagombaniwa mpenzi😌😂
Niacheee😂😂😂😂🙌Sasa leo ndio unanikemea, mbona kama umechelewa😂
Kana nyota kali sana haka katoto yani nimejikuta nakapenda tu hata sijui nakapendea niniNaona unagombaniwa mpenzi😌😂
Wee sema kweliWanaume kama sisi ni wazuri kwa wanawake wazuri kama wewe
kataeni kistaarabuWanaume wabaya sana😂
Kwani unatuonajeYani kama watu vile 😅😂😂
Umemaliza kila kitu mkuuSurvival for the fittest.
Ukiyatazama maisha ya uswahilini utagundua ni maisha ya kustruggle kwa kila kitu.Upate hewa nzuri, kula, kwenda toilet.
Hii inamshape mtu kwa namna tofauti sana, kustruggle kuheshimika na kuwa recognized.
So it's a mental issue iliyojengengeka for so long mpaka inakuwa mazoea na lifestyle.
Hapo alipokujibu kwa dharau ni namna ya kutafuta kiheshimika kwa lazima. Nyuma ya ubongo wake kuna kitu anapambana nacho ambacho sasa kinaonekana kwenye namna anavyofanya kwa watu.
Siku nyingine muhurumie tu mtu wa aina hii.
Tumeipenda miguu yake ana miguu sexy sana leejayNaona unagombaniwa mpenzi😌😂
Nimeipenda miguu yako leejayUmemaliza kila kitu mkuu
Kuwa makini😂Yani kama watu vile 😅😂😂
Mnavyobadilikaga sasa kama vinyonga...ila nyie watu hapana kwakweli 😅😅🙌🙌Kwani unatuonaje