Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Hahaa msitupangiekataeni kistaarabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaa msitupangiekataeni kistaarabu
Asante, ichukue tu kama unaitaka😃Nimeipenda miguu yako leejay
Mimi sisemiMnavyobadilikaga sasa kama vinyonga...ila nyie watu hapana kwakweli 😅😅🙌🙌
Una miguu mizuri sijawah ona nimefall for your legs nadata na wwAsante, ichukue tu kama unaitaka😃
Tunasema ukweliWanawake mshajitengenezea mada sasa
Nawajua vizuri tu my dear 😂😂Kuwa makini😂
Lenie mwambie leejay nimedata na miguu yakeTunasema ukweli
Wacha weeee🤗🤗Una miguu mizuri sijawah ona nimefall for your legs nadata na ww
Hapana bana mara nyingi madada wa kiswahili wasicho penda ni dharau hapa utakua wewe ulimfata kidharaudharau ndio maana akakuwahi [emoji23][emoji23][emoji23]Habari wanajamvi,
Kutokana na utafiti wangu wa hapa na pale kuhusiana na wanawake nimekuja kugundua asilimia kubwa ya wanawake ambao uwezo wao ni mdogo wa kufikiri(especially hawa wa uswahilini ila sio wote) wanakua na kidharau fulani ivi cha kijinga kwa mfano unaeza mfuata ukamsalimia demu normal tu namuongee ila atakavyo kujibu au dharau atakazokuonyesha kama wewe ni takataka fulani..... Like what the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala mtu mwenyewe ukimuangalia kavaa kijora kimepauka kichwani hana lolote saa nyingine ni form four zero.
Ila kwa upande mwengine kuna baadhi ya wanawake wenye uwezo mkubwa wa kufikiri ambao nimekutana nao they are very polite and generous compared tu hawa akina mwajuma ndalandefu ambao kichwani amna kitu zaidi ya vigodoro na kunuka shombo
Nakazia 📌Tunasema ukweli
Na hicho ndio kilicho mkostKwani hutambui kwamba watu hutofautina kwa kila kitu kuanzia jina rangi tabia urefu, na mengineyo, hamna cha kushangaza hapo.
Akili ndogo haipimwi kwa salam.
Kuna watu wana akili mingi ila wana dharau vilevile.
Labda kwa tafsiri yako ulimwona wa hadhi ya chini ukategemea atakushobokea.
Mwenye shida niwewe kuweka expectation nyingi kwa watu usio wajua.
Iyo nayo kweli kiongozi nimekuelewa umeelza vizuriHapana bana mara nyingi madada wa kiswahili wasicho penda ni dharau hapa utakua wewe ulimfata kidharaudharau ndio maana akakuwahi [emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani hao ukienda na pigo za kisomi au kishua hakuna rangi utaacha ona yaani wanajikubali na hali zao za chini na elimu yao duni ila wewe ukapeleka usomi wako [emoji23][emoji23]
Ukitaka kuwa approach hao cha kwanza jifananishe nao hakuna staili utaacha pewa utapewa hadi staili ya chief goodlove kakutwa na vimbao
Ila watu 😂😂😂😂🙌utapewa hadi staili ya chief goodlove kakutwa na vimbao
we wajaze upepo hawa watoto wakose wachumbaHahaa msitupangie
Acha mwalimuWewe tu uje na karatasi na peni😃😃
Kesi ya mtu mmoja usitujumlishe wote binti tafadhali sanaMnavyobadilikaga sasa kama vinyonga...ila nyie watu hapana kwakweli 😅😅🙌🙌
Acha kutuharibia please tusizibiane riskKuwa makini😂
Sawa😅🙌Kesi ya mtu mmoja usitujumlishe wote binti tafadhali sana
Naanzaje kukuacha!Niacheee😂😂😂😂🙌
Basi sawaNaanzaje kukuacha!