Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika zinaa ni uchafu na uchafu unaochukizaVijana iepukeni zinaa mpate kuishi maisha yenye amani na marefu
Kama masihara nawaonya vijana Kila siku.Hakika zinaa ni uchafu na uchafu unaochukiza
Usitufokee kiongoziKama masihara nawaonya vijana Kila siku.
Ila mwisho wa siku wanaishia pabaya.
Zinaa, zinaa, zinaa.
Hakufokei anakufundishaUsitufokee kiongozi
Habari wanajamvi,
Kutokana na utafiti wangu wa hapa na pale kuhusiana na wanawake nimekuja kugundua asilimia kubwa ya wanawake ambao uwezo wao ni mdogo wa kufikiri(especially hawa wa uswahilini ila sio wote) wanakua na kidharau fulani ivi cha kijinga kwa mfano unaeza mfuata ukamsalimia demu normal tu namuongee ila atakavyo kujibu au dharau atakazokuonyesha kama wewe ni takataka fulani..... Like what the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala mtu mwenyewe ukimuangalia kavaa kijora kimepauka kichwani hana lolote saa nyingine ni form four zero.
Ila kwa upande mwengine kuna baadhi ya wanawake wenye uwezo mkubwa wa kufikiri ambao nimekutana nao they are very polite and generous compared tu hawa akina mwajuma ndalandefu ambao kichwani amna kitu zaidi ya vigodoro na kunuka shombo
Hachana na wanawake, waache kama walivyo nilitaka kuwatukana wanawake lakini naogopa kupigwa Ban. Wengi hata uwasaidie ni kazi bure, mwanamke anafikiri duniani amekuja kusaidiwa na ndio maana siku izi wanawake wanazalishwa na wanapigwa chini wakajifunze kwao. Akisha kabidhiwa majukumu ndio anakuwa na heshima baada ya kupewa majukumu ya kulea na kutafuta pesa piaHabari wanajamvi,
Kutokana na utafiti wangu wa hapa na pale kuhusiana na wanawake nimekuja kugundua asilimia kubwa ya wanawake ambao uwezo wao ni mdogo wa kufikiri(especially hawa wa uswahilini ila sio wote) wanakua na kidharau fulani ivi cha kijinga kwa mfano unaeza mfuata ukamsalimia demu normal tu namuongee ila atakavyo kujibu au dharau atakazokuonyesha kama wewe ni takataka fulani..... Like what the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala mtu mwenyewe ukimuangalia kavaa kijora kimepauka kichwani hana lolote saa nyingine ni form four zero.
Ila kwa upande mwengine kuna baadhi ya wanawake wenye uwezo mkubwa wa kufikiri ambao nimekutana nao they are very polite and generous compared tu hawa akina mwajuma ndalandefu ambao kichwani amna kitu zaidi ya vigodoro na kunuka shombo
😂😂😂Nimecheka Umenikumbusha wakat niposhule kunamkaa aliniaproach kama mwaka hiv nikawa namchomolea sikumoja tumkutna njiani nipo narafikiyangu akanisimamisha Tena kubembeleza nikamcholea natak kuondoka nasikia muone bichwa kama pasi vile😂😂😂😂na ungekuwa na kichwa kizuri wew ungezidi kuringa 😂😂😂(sinaga kidosokipo flat nyuma)Wakati anamfata alimuona mrembo, kapigwa kibuti ndio kageuka mwajuma ndala ndefu
Wakati anakuapproach hakuona hilo🤣🤣😂😂😂Nimecheka Umenikumbusha wakat niposhule kunamkaa aliniaproach kama mwaka hiv nikawa namchomolea sikumoja tumkutna njiani nipo narafikiyangu akanisimamisha Tena kubembeleza nikamcholea natak kuondoka nasikia muone bichwa kama pasi vile😂😂😂😂na ungekuwa na kichwa kizuri wew ungezidi kuringa 😂😂😂(sinaga kidogokipo flat nyuma)
Aisee na rafikyngu tulicheka balaa 😂😂Sasa bichwa langu likimkosea nn 😂😂
😂 msameheniWakati anamfata alimuona mrembo, kapigwa kibuti ndio kageuka mwajuma ndala ndefu
Kichwa kama pasi 😂😂😂😂Nimecheka Umenikumbusha wakat niposhule kunamkaa aliniaproach kama mwaka hiv nikawa namchomolea sikumoja tumkutna njiani nipo narafikiyangu akanisimamisha Tena kubembeleza nikamcholea natak kuondoka nasikia muone bichwa kama pasi vile😂😂😂😂na ungekuwa na kichwa kizuri wew ungezidi kuringa 😂😂😂(sinaga kidosokipo flat nyuma)
Aisee na rafikyngu tulicheka balaa 😂😂Sasa bichwa langu lilimkosea nn 😂😂
Bado hamjasemaWabaya sana
😂😂😂Nilicheka ila badae iliniuma sana sio kichwa ni bichwa😂😂Kichwa kama pasi 😂
Aaah jamani kwani ni kweli kipenzi? Mbna una kichwa kizuri😂😂😂Nilicheka ila badae iliniuma sana sio kichwa ni bichwa😂😂
Bichwa kama pasi na ilo komwemwe maana ilo sio komwe 😂😂😂😂Nilicheka ila badae iliniuma sana sio kichwa ni bichwa😂😂
😂😂Sina komwe nipew kichwa flat na komwe si nitakuwa kituko😂😂Bichwa kama pasi na ilo komwemwe maana ilo sio komwe 😂
Focus na Leejay49 mbona unapoteza directionAaah jamani kwani ni kweli kipenzi? Mbna una kichwa kizuri