Wanawake wenye kucha ndefu ndiyo wanaongoza kwa kuwa na uke mchafu

Kazi ipo sana kwa madada du wadotcom. Unategemea atasafisha je wakati kucha zenyewe zakubandika?
 
Inasemekana 89% ya wanawake wana tatizo la uwendawazimu wa kutaka kufanana na flani!!!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
true man hii upelekea kufanya mambo ambayo hujutia sana baadae
 
Hehehhehe,.mie hufuga kwa msimu na haziwi ndefu sana Maana nna uroho wakutafuna Kucha,hivo huwa najikaza kufuga ili vidole visiende alijojo Maana c kwakutafuna huku
 
Boss wangu alienda bank akakuta kuna staff wa kiume amefuga kucha akatuliza hivi akienda msalani anafanyaje?.Kwangu Mimi mtu anayefuga kucha ni mchafu.
Hawa wanaume wafuga kucha hawa jamaniii,.cpendi Hata anikaribie mwanaume unafugaje Kucha,za kazi gani na kwann!??ndo wanaowaletea wanawake zao kansa za kizazi tuu[emoji57] [emoji57]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…