Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 12,001
- 27,175
Wanasafishwa na nani?Wanapikiwa, wanafuliwa, wanasafishwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasafishwa na nani?Wanapikiwa, wanafuliwa, wanasafishwa
Niliona video ya Sheikh mmoja akitoa mawaidha akisema ukiona mwanamke anakucha ndefu lazima atakuwa anatoa harufu huko chini maana kujisafisha haweziWamejaa vinyesi
Nimekutania bana. Kiukweli kujisafisha hawawezi. Nilishawahi kubandika kucha nilikoma maana ni kama silaha unaweza ukaumia muda wowote kuna kazi huwezi kufanya, zinahifadhi uchafu pia.Wanasafishwa na nani?
Aisee bora uliacha,sasa sijui wao hawaoni uchafu,na pia ni rahisi kujiumiza kweliNimekutania bana. Kiukweli kujisafisha hawawezi. Nilishawahi kubandika kucha nilikoma maana ni kama silaha unaweza ukaumia muda wowote kuna kazi huwezi kufanya, zinahifadhi uchafu pia.
Ukiona ana mda wa kukukuna mgongoni jua anakuibia, hana hisia nawewe wakat wa mgegedo..kucha za kukunia mgongoni mwana wakat wa mgegedo
wanawake wanaweka vi2 bandia,ni rahisi sana kuwa na mwanaume bandia!!! ata kama kaolewaAloo nilichokutana nacho leo balaa, nawaombeni wadada mnaoweka hizi kucha za bandia kuweni makini kwenye sehemu zenye mkusanyiko wa watu. Leo nimekoswa kutobolewa macho kwenye daladala.
Sawa tunajua mnataka muonekane warembo, ila basi jaribuni kulinda usalama wetu sisi wengine. Sio kwamba nawataka msiweke hizo kucha zenu bali nahitaji muwe wastaarab, sisi wengine bado wadogo jaman tuna ndoto zetu. leo ukinitoboa macho nitaishije.
Unakuta mtu ana kucha kama hizi halafu anakaa kindezi tu.
View attachment 2639038