Wanawake wenye kucha za bandia kuweni makini kwenye daladala

Wanawake wenye kucha za bandia kuweni makini kwenye daladala

Wamejaa vinyesi
Niliona video ya Sheikh mmoja akitoa mawaidha akisema ukiona mwanamke anakucha ndefu lazima atakuwa anatoa harufu huko chini maana kujisafisha hawezi
 
Wanasafishwa na nani?
Nimekutania bana. Kiukweli kujisafisha hawawezi. Nilishawahi kubandika kucha nilikoma maana ni kama silaha unaweza ukaumia muda wowote kuna kazi huwezi kufanya, zinahifadhi uchafu pia.
 
Nimekutania bana. Kiukweli kujisafisha hawawezi. Nilishawahi kubandika kucha nilikoma maana ni kama silaha unaweza ukaumia muda wowote kuna kazi huwezi kufanya, zinahifadhi uchafu pia.
Aisee bora uliacha,sasa sijui wao hawaoni uchafu,na pia ni rahisi kujiumiza kweli
 
Nasikiaga wenye kucha ndefu huwa wanaendesha magari yao, imekuwaje kwa huyo aliyepanda daladala!
Hahahaaa....
 
Aloo nilichokutana nacho leo balaa, nawaombeni wadada mnaoweka hizi kucha za bandia kuweni makini kwenye sehemu zenye mkusanyiko wa watu. Leo nimekoswa kutobolewa macho kwenye daladala.

Sawa tunajua mnataka muonekane warembo, ila basi jaribuni kulinda usalama wetu sisi wengine. Sio kwamba nawataka msiweke hizo kucha zenu bali nahitaji muwe wastaarab, sisi wengine bado wadogo jaman tuna ndoto zetu. leo ukinitoboa macho nitaishije.

Unakuta mtu ana kucha kama hizi halafu anakaa kindezi tu.

View attachment 2639038
wanawake wanaweka vi2 bandia,ni rahisi sana kuwa na mwanaume bandia!!! ata kama kaolewa
 
Back
Top Bottom